tatizo la kuzaliwa na kukulia mikoani
Hahahahaaa nacheka kama mazuri vile! Haya bwana hongera zake.
Tatizo huyu jamaa ni mshamba sana na utozi wake wa kizamani!
Hivi hawa nao walioalikwa wakaenda ni wazima kweli kichwani!
Tatizo huyu jamaa ni mshamba sana na utozi wake wa kizamani!
Hivi hawa nao walioalikwa wakaenda ni wazima kweli kichwani!
Tatizo huyu jamaa ni mshamba sana na utozi wake wa kizamani!
Hivi hawa nao walioalikwa wakaenda ni wazima kweli kichwani!
Tatizo huyu jamaa ni mshamba sana na utozi wake wa kizamani!
Hivi hawa nao walioalikwa wakaenda ni wazima kweli kichwani!
Toka aanze kuwapa watoto wake sijui majina kama Tanzanite na Africa huwa namuonaga hana akil kabisa ptuu
Kuzaliwa Dar ndo kusemaje?