Msanii H. Baba na Tuzo za familia, huku ni kuchanganyikiwa?

Kwani anaimbia bendi gani..au hio miuno anakatia bendi gani?
 
Hahahahaaa nacheka kama mazuri vile! Haya bwana hongera zake.

Toka aanze kuwapa watoto wake sijui majina kama Tanzanite na Africa huwa namuonaga hana akil kabisa ptuu
 
Kiukweli sijawahi kumuelewa huyu jamaa katika fani yake ya uburudishaji
 
Tatizo huyu jamaa ni mshamba sana na utozi wake wa kizamani!
Hivi hawa nao walioalikwa wakaenda ni wazima kweli kichwani!

Teh Teh mkuu umeniacha hoi..kwakweli mimi nahisi jamaa amechanganyikiwa kabisa na wao ilibidi waende kumfariji jamaa wakati wautoaji wa tunzo
 
Nashauri madaktari Wa Mirembe wasikae maofisini tu,wagonjwa wanaowahusu wako wengi sana mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…