Msanii H. Baba na Tuzo za familia, huku ni kuchanganyikiwa?


Sijakuelewa kajizawadia TUNZO au TUZO? Inawezekana hujamuelewa na unakosea kumtoa akili.Kama ni TUNZO Hiyo itakua kitu kipya mi sioni tatizo lkn ingekua TUZO hata mi ningeshangaa!!..#kiswahili kigumu#
 
Hii inafanana na ile sinema ya Mr. Bean alijitumia card ya Christmas mwenyewe halafu akashangilia sana!

Teh Teh mkuu Ndallo umenichekesha sana...
 
Last edited by a moderator:
Toka aanze kuwapa watoto wake sijui majina kama Tanzanite na Africa huwa namuonaga hana akil kabisa ptuu

Hahahahaaa jamaa swaga zake ziko kama wakongoman.Halafu itakua wanatumia kitaulo na mkewe.
 
majina ya wtoto wake sasa wa kwanza anaitwa tanzanite wa pili africa
 
Hio kitaalamu inaitwa kutoa gundu
 
Kwani kosa li wapi? Kajiandalia, kaalika watu, kajikabidhi mwenyewe! Hajavunja sheria.
 
Frola anajichubua hilo si la kuuliza

Watumia vitaulo wote na wafe kwa kansa tu.Wanamkosoa Mungu kwa kuwanyima ngozi ya Mtume, hata mtu ajichubue vipi hawezi kuwa sawa na yule aliyejaaliwa.

cc: Diva Beyonce
 
Last edited by a moderator:
Watumia vitaulo wote na wafe kwa kansa tu.Wanamkosoa Mungu kwa kuwanyima ngozi ya Mtume, hata mtu ajichubue vipi hawezi kuwa sawa na yule aliyejaaliwa.

cc: Diva Beyonce

Utapigwa weweee ohooo
 
Last edited by a moderator:
Wabongo mnapenda majungu,sasa Kama amejipa tuzo si zake mwenyewe nye mnaumia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…