Mahusiano ya harmonize maarufu kwa jina la Konde boy na socialite Poshy Queen yanaonekana kuvunjika na mwanadada huyo ameonekana kuwa na mwanaume mwingine kwenye club night moja. Dalili za kuachana kwao imeanza mapema baada ya kuunfollow kila mmoja wao.
Una mshauri vipi bwana Kondeboy kwenye mahusiano ukizingatia alishatangaza hadi tarehe ya ndoa ya kumuoa mrembo huyo na kwasasa mambo yameshavunjika na kijana kagharamia sana huyu mrembo.
Una mshauri vipi bwana Kondeboy kwenye mahusiano ukizingatia alishatangaza hadi tarehe ya ndoa ya kumuoa mrembo huyo na kwasasa mambo yameshavunjika na kijana kagharamia sana huyu mrembo.