Dont be serious na mahusiano ya celebrities. Hizo ni social stuntsMahusiano ya harmonize maarufu kwa jina la Konde boy na socialite Poshy Queen yanaonekana kuvunjika na mwanadada huyo ameonekana kuwa na mwanaume mwingine kwenye club night moja.Dalili za kuachana kwao imeanza mapema baada ya kuunfollow kila mmoja wao.
Una mshauri vipi bwana kondeboy kwenye mahusiano ukizingatia alishatangaza hadi tarehe ya ndoa ya kumuoa mrembo huyo na kwasasa mambo yameshavunjika na kijana kagharamia sana huyu mrembo
washapeana UKIMWI maisha yaendeleeeMahusiano ya harmonize maarufu kwa jina la Konde boy na socialite Poshy Queen yanaonekana kuvunjika na mwanadada huyo ameonekana kuwa na mwanaume mwingine kwenye club night moja.Dalili za kuachana kwao imeanza mapema baada ya kuunfollow kila mmoja wao.
Una mshauri vipi bwana kondeboy kwenye mahusiano ukizingatia alishatangaza hadi tarehe ya ndoa ya kumuoa mrembo huyo na kwasasa mambo yameshavunjika na kijana kagharamia sana huyu mrembo
mambo ya harmonize mzee wa kupenda posteriorHarmonize nisiwe mnafiki namuona kwenye media na kusikia nyimbo zake, huyo Poshy Queen ndio nani huko dasalama?
Yule dogo anapenda mikia balaa, sijui huwa anaifanyia kazi gani...mambo ya harmonize mzee wa kupenda posterior
View attachment 3117830
Ni mdada anae uza karanga mbichi na sabuni za mche daslama..Harmonize nisiwe mnafiki namuona kwenye media na kusikia nyimbo zake, huyo Poshy Queen ndio nani huko dasalama?
Dogo p didy yule we hukuwahi kuona clip ya yule dada muhudumu wa hotel Zenji alienda kwenye shoo akafikia hapo hoteli, si unajua watoto hawa kwa tamaa kuitwa kaenda nchomba nchumali alitembeza rungu kama yule nyundo ni tope tu tope tu tangu hotelia kutoka hapo analia lia tu, hivyo huyo bwana ni mzee wa liwati bingwa kabisaYule dogo anapenda mikia balaa, sijui huwa anaifanyia kazi gani...
Poshy queen hana jeuri ya kumuacha konde bway....hizo ni kiki kama kiki zingine.Mahusiano ya harmonize maarufu kwa jina la Konde boy na socialite Poshy Queen yanaonekana kuvunjika na mwanadada huyo ameonekana kuwa na mwanaume mwingine kwenye club night moja. Dalili za kuachana kwao imeanza mapema baada ya kuunfollow kila mmoja wao.
Una mshauri vipi bwana Kondeboy kwenye mahusiano ukizingatia alishatangaza hadi tarehe ya ndoa ya kumuoa mrembo huyo na kwasasa mambo yameshavunjika na kijana kagharamia sana huyu mrembo.
Dogo ni PDiddy πππDogo p didy yule we hukuwahi kuona clip ya yule dada muhudumu wa hotel Zenji alienda kwenye shoo akafikia hapo hoteli, si unajua watoto hawa kwa tamaa kuitwa kaenda nchomba nchumali alitembeza rungu kama yule nyundo ni tope tu tope tu tangu hotelia kutoka hapo analia lia tu, hivyo huyo bwana ni mzee wa liwati bingwa kabisa
Dogo p didy yule we hukuwahi kuona clip ya yule dada muhudumu wa hotel Zenji alienda kwenye shoo akafikia hapo hoteli, si unajua watoto hawa kwa tamaa kuitwa kaenda nchomba nchumali alitembeza rungu kama yule nyundo ni tope tu tope tu tangu hotelia kutoka hapo analia lia tu, hivyo huyo bwana ni mzee wa liwati bingwa kabisa
Ilikuwepo ni muda kidogo binti analia lia nchomba nchumali kampididy kama kuna mtu aliiona pia ataongezea humuclip gani hiyo mkuu? tuekee basi
Hivi kabisa kwa akili yako unamuamini huyo jamaaclip gani hiyo mkuu? tuekee basi
Wewe usipoamini inatosha sio malaika yule eti alafu natumia jina bandia natumia account anomy kwanini nidanganye na clip niliiona kwa macho yangu Znz hukoHivi kabisa kwa akili yako unamuamini huyo jamaa