Haya mambo konde boy hakusema kipind anapiga 1m views kwa siku...leo hii anaitafuta 1m kwa toch ndio anaona views sio heshima tena [emoji3]
mbona bado ni miongoni wa wasanii wa nchi hii ambao wanaangaliwa sana youtubeHaya mambo konde boy hakusema kipind anapiga 1m views kwa siku...leo hii anaitafuta 1m kwa toch ndio anaona views sio heshima tena [emoji3]
kwanini tuzo za kitanzania zioneoane hivyo za kibabaishaji, kwanini wezetu wanaijeriq hata huko america wanagimbea tuzo zao wenyewe sisi huku ndio kupapatika na tuzo za nchi za watuAKILI MGANDO HII WATU WANAWAZA TUZO ZA KIMATAIFA YEYE ANAWAZA TUZO ZA UBABAISHAJI ZA TANZANIA?
KWA HAPA TZ BADO HATUJAWA NA MFUMO MZURI WA KUWEZA KUTOA TUZO BILA KUWEPO NA LAWAMA
hajadharau youtube, tena yupo top ten ya wasanii wa kibongo wanaofuatiliwa sana huko youtubeKonde acha kulalama!Youtube na platform mbalimbali kwa sasa ndio main key ya kushinda hizo tuzo anazozitaka!hivyo huwezi kudharau Youtube abadani! Wewe pambana na wanaume wenzio huko youtube acha kulialia[emoji23]ngoma imekuwa ngumu sana kwako sikuhizi huko youtube hadi zuchu amekushinda[emoji2296]!!