nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Kweli kabisa wasanii kama kina belle 9, kina jay melody n.k kama kungekuwa na tuzo wangeshakuwa wameheshimishwa sana ila tuzo hamna na kwa kuwa hawafuatiliwi sana mitandaoni wanaendelea kuchukuliwa poa, ila tuzo zikiwepo hawa lazima wangeshinda na wao kupata heshima ya kisanaa wanayostahili