Msanii huyu anaitia aibu tasnia ya filamu

hawa wasanii wa bongo tatizo lao wanaishi naisha ya kuigiza sana...ila hili la kuuza sembe yule mzee wa matamko asimuache kwakwel
 
Sio bure, interest ya kufamfanyia utafiti mtu ambaye hakuhusu wala so ndugu yako siku kadhaa hadi akawa anafunga safari kwenda kufuatilia. Wewe Jesca unaona in kawaida? Kuna kitu nyuma ya pazia
Wewe unahisi nini mkuu, kumbuka yule ni msanii anatazamwa na jamii, lazima asemwe. suala la kuuza sembe si la kupuuzia hata kidogo mkuu.
 
Kwa wasanii wa kibongo hiyo kawaida ila dah utakuwa umemchoma Rafiki yako ambae anaishi huko chamanzi na huyo jamaa na kama kweli anadeal na mateja basi umemsababishia matatizo
 
Hahahaha ila kuna kaa ukweli hapa, inaonekana mleta mada ni mwandishi maana ndio kazi zao hizi za ushushu.
Jesca sio ushushu, kwanini uishi maisha ya maigizo usiishi maisha yako halisi? Kingine kuuza unga je hilo liko sawa kwamba namuonea au umbea? Nimetoa kuwa fundisho kwa wenye tabia kama hii
 
Kwa wasanii wa kibongo hiyo kawaida ila dah utakuwa umemchoma Rafiki yako ambae anaishi huko chamanzi na huyo jamaa na kama kweli anadeal na mateja basi umemsababishia matatizo
Hakuna matatizo yoyote atakayo pata, bahati nzuri siri nyingi nilitoa kwa mateja na kaka yake. Na Dada mtu nae akanipa siri kibao, maana wamemchoka, zaidi ya million 50 za mgao aliponda raha na wasichana wa mjini gari za maana Leo wanakuja kumpa Mzee wa watu shida. Mama zetu wanavumilia sana, baba angekuwepo asingekaa hapo.
 
Nahisi atakuwa mke wake enzi hizo, jamani huyu kaka anaigiza vizuri sana na napenda kufuatilia movie zake lkn Sijui wanakosea wapi! Mpaka unafikia hatua ya kuishi na wazazi kwa umri huo hapana jamani.
Hongera kwa kufatilia bongo movie .... Kubweteka tu ndio kunafanya watu kuendelea kuishi home espc km umekamilika kila kitu
 
Mpe pole aise duu!!!!. Huku mkoani tunawaona wakubwa kweli kweli mjini huko
 
Hivi kibongo bongo ngada bei ya rejareja ikoje. Mfano gram 1 ni sawa na shilingi ngapi? Au vile vipinchi vya kwenye nailoni zamani sana ilikuwa kimoja buku, siku hizi ni bei gani?
 
Hivi kibongo bongo ngada bei ya rejareja ikoje. Mfano gram 1 ni sawa na shilingi ngapi? Au vile vipinchi vya kwenye nailoni zamani sana ilikuwa kimoja buku, siku hizi ni bei gani?
Mkuu na wew unatumia nini! Mbona kama mzoefu hivi. Ngoja wataalamu waje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…