Msanii huyu anaitia aibu tasnia ya filamu

Hakuna chochote kati yangu na mhusika hata kidogo, nina ugomvi nae kwa biashara yake anayofanya. Nitapambana nae hapo chamazi mpaka mwisho, nitafutilie mpaka anakotoa hizo dawa, ni bahati nzuri taarifa nimeisha fikisha sehemu husika, uchuguzi unaendelea kubaini anapotoa huo mzigo.
 
Na haswa pale anaposhindwa kumfuata mwenyewe na kumwambia ukweli na badala yake anamsema kwenye mitandao.

Sijui ni uoga au?
Nyie ndio walewale tu, nikikubaini na wewe nakufutilia mpaka unapolala na kuanika. Mnaleta upuuzi na maisha yenu ya maigizo kwenye mitandao ya kijamii, wakati mnashindia mihogo na maji.
 
Ukweli mtupu hayo ndio maisha yao hivyo ndivyo wanavyoishi hakuna kingine huku mtaani wanaishi Kiujanjaunjanja sana hata kulipia Luku yenyewe mpaka mpigishane kelele za kutosha, ni hatari tupu.
 
Asante kwa kumwambia kweli, ukiona povu ujue jiwe la gizani limewapata wengi.
 
Sasa wewe baada ya kugundua mchizi anauza crack kwanini hukumreport police au umeridhishwa na anavyowapoteza vijana wenzio
Baada ya kubaini nilikwenda kwa mjumbe kujua kama anatambua biashara hiyo kwenye mtaa wake, majibu yake yalinipa shaka nikajue washirika, nikabaini askari wanakwenda wanapewa kisenti wanaondoka. Kuna hatua ambazo nimechukua mtamsikia tu. Mbona wengi nilishawafichua kuna watu wameishachukuliwa hatua.
 
hii ni zaidi ya ubongo muvi wake,kuna kitu kati yako na yeye nyuma ya pazia hatukijui.....!!
Hili ndiyo tatizo la Waafrica walio wengi mkiambiwa ukweli mnachachamaa hadi mshipa wa t unasimama! Mlitaka mskie mleta thread anamsifia na kuandika jamaa ana bonge la gorofa huko obey?
 
Hili ndiyo tatizo la Waafrica walio wengi mkiambiwa ukweli mnachachamaa hadi mshipa wa t unasimama! Mlitaka mskie mleta thread anamsifia na kuandika jamaa ana bonge la gorofa huko obey?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji14] [emoji14] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Hili ndiyo tatizo la Waafrica walio wengi mkiambiwa ukweli mnachachamaa hadi mshipa wa t unasimama! Mlitaka mskie mleta thread anamsifia na kuandika jamaa ana bonge la gorofa huko obey?
Hahahahaaaaaaaaaaaa
 
Mbona hatari hii, ndio kubuana tena. Mleta mada njoo hapa Mwananyamala kuna mwingine ana maisha kama hayo lkn sitaa bongo nzima hakuna asiyemfahm. Kila Siku magari ya kuazima na kujipiga selfie kwenye Nyumba za watu huko Mbezi na Mikocheni.
 
Labda anapouza hiyo ngano kuna watu wanafanya shooting.
Anyway afanye bonge la movie lenye kuonesha uhalisia infact atatoka tu.
Kama kweli anafanza hiyo biashara ya ngano kutoka huko sijui wapi,hana muda mrefu atakamatwa kwani kupitia uzi huu jicho la dola na tochi zote zinaelekea Chamazi.
 
Sasa kama wewe ni mfata yako umeingia jf kutafuta nini kwan kuna mstari hata mmoja wa coding uiouandika katika hii app.....na kwanini usome huu .....tuoneshe mfano kwanza kwa wewe kufataa yako
cheki unavyojiuma uma ,hujui hata usimamie wap
 
Aisee pole yake. huu ujumbe nadhani lazima aupate tuu.

hata mie naishi Chamazi magengeni yeye anaishi Chamazi sehemu gani nikamtembelee msanii wetu
Viwanja sh ngapi kwa sasa huko chamazi?
 
Cku zote wanaofuatilia maisha ya watu ni nadra sana kufanikiwa lakn ni vyema tukiwa kama bnadamu tukaacha vle vtu vlivyowafanya wengi wawe masikini,..mtu mwenye malengo yaliyobeba ndoto za kufanikiwa huwez ukaacha shughuli zako na kuamua kumfuatilia mtu,.kwa vle nilivyomuelewa mm anadai kuna siku alikwenda yeye kama yeye kwa kazi hyo tu ya kumchunguza huyo mtu na akagundua mambo mengi tu jui ya huyo msanii ,sasa inakuwaje mtu unapoteza muda kwa kufuatilia habari za mtu mwingne,.ndgu zngu mnaoamin uwepo wa Mungu na malipo yke cku ya mwsho ambyo mnaamin ipo hautaulizwa maisha ya jirani yko bali utaulizwa maisha yko mwenyewe,kuchunguza maisha ya mtu ni kanuni ya kupata umasikini uliotukuka.
 
Kama mleta mada ni mwanamke basi tutaangalia nyuma ya ubongo wake huyo mtafit inawezekana ana chuki naye ukizngatia wasanii weng wa kiume wakipata umaarufu kidg tu lazma wawapitie sana viunoni,lakn kama ni mwanaume inawezekana aligongewa.haiwezekan kwa akili yko ya kibnadamu unaacha shuguli zako na kufuatilia maisha ya mtu kwnza ni hatari kwa maisha yko yajayo maana mara nying tabia za ujanan zinasafiri had uzeeni..jaman tuwe makin wapendwa kwn sicho kilichotuleta dunian..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…