Msanii huyu anaitia aibu tasnia ya filamu

asa kwa kumpost ndo utamzuia asiuze hayo madawa ya kulevya? unaweza ukawa mkubwa kama baba yangu ila ukawa na akili ndogo kama za mtoto mchanga.
 
Kama anauza "unga wa mateja" kizuri zaidi ilikuwa kuripoti tukio hilo katika vyombo husika, kwa hapa sasa atapoteza ushahidi,

Na kwa mazingira ya Uzi huu..mm!
Zile sentesi za kwanzakwanza nimezitilia shaka.
 
acha kuwa na akili za mwendo kasi sasa humu kuna wanausalama? si uwape mchongo askari waje kumkamata...acha ufala mtoto wa kiume hawezi kufatilia biashara za mwanaume mwenzie au mwenzetu sio riziki nini
Wee jamaa inaonekana ni bongomovie mwenzako, ngoja akiharibikiwa ndiyo muanze kupitisha bakuli la mchango wa kumpeleka rehab
 
Wee jamaa bhana, tafuta kwanza maana ya neno celeb ni nini! Ndiyo uje uanze kumwanga povu lako hapa Jing kweli!

Sheria ingekuwa imevunjwa kwa kuanika maisha ya huyo jamaa hii thread ingekuwa imeshafutwa kwa kuwa ni celeb ni lazma mazuri na mabaya yake lazma yaanikwe hapa!!
 
Sasa wewe baada ya kugundua mchizi anauza crack kwanini hukumreport police au umeridhishwa na anavyowapoteza vijana wenzio
Fatilia comments zake ameshaeleza vizur
 
Kazi yake inamruhusu
 
Ukweli mtupu hayo ndio maisha yao hivyo ndivyo wanavyoishi hakuna kingine huku mtaani wanaishi Kiujanjaunjanja sana hata kulipia Luku yenyewe mpaka mpigishane kelele za kutosha, ni hatari tupu.
Aarggh apo kwenye makelele ya luku kuna mkaka tunaishi nae ukimwona huwez mdhania nje very smart mwanaume hyu ikifika mambo ya luku hatoi baadh ya hawa wanaume sijui wapoje
 
Jambo moja sijafurahia, umetoa chanzo chako cha habari jambo ambolo sio zuri kwa mujibu wa uandishi wa habari, kwani wahusika watamfahamu na umejenga uadui tayari
 
Siku moja jirani yangu tumbo lilikuwa linauma akaenda hospital,
Dokta. Leo toka asubuh umekula nn?
Mgonjwa. Pizza, baga, kuku choma na chips mayai kidogo
Dokta. Weee sema ukweli hapa sio fb, twt au inst
Mgonjwa. Ugali maharagwe na mchicha wa mto simbazi
Dokta. Hacha kuishi maisha ya kuigiza wew
 
Wee jamaa inaonekana ni bongomovie mwenzako, ngoja akiharibikiwa ndiyo muanze kupitisha bakuli la mchango wa kumpeleka rehab
ASA UWEZI KUMREKEBISHA MTU KWENYE MITANDAO NI VYEMA ANGE MFACE KULIKO KUJA KUMNANGA MTU HUMU SI AJBU ATA YEYE MWENYEWE HUMU AJAWAHI KUINGIA ASA UNAPOMUANDIKA HUMU ITAMSAIDIA NN
 
ASA UWEZI KUMREKEBISHA MTU KWENYE MITANDAO NI VYEMA ANGE MFACE KULIKO KUJA KUMNANGA MTU HUMU SI AJBU ATA YEYE MWENYEWE HUMU AJAWAHI KUINGIA ASA UNAPOMUANDIKA HUMU ITAMSAIDIA NN
Huyu ni kioo cha jamii so nilazma jamii itambue alipo na nini anafanya!

[HASHTAG]#Sikujibutena[/HASHTAG]
 
Wewe ni hasara kwa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…