Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wa wili walio ingia kutoka king music ndo kabsaa ..country mwenyewe kachuja na EP yake
Na Wewe msomi fanya tuone tofauti yako na HarmonizeHarmonize anafanya mambo kwa kukurupuka... shule nayo ina umuhimu
easy man.....😺😺😺😺Na Wewe msomi fanya tuone tofauti yako na Harmonize
Haaaaaaaa ina maana leo Cheed na Killy wamekuwa mapimbi.Hamnamo Msanii humo bado Vile Vipimbi Viwili vilivyo mkimbia Mfalme, Kingine kipo kwenye game karibu miaka 10 kinatapatapa tu..
Robidinyo Mbona povu mzee kulikoniHamnamo Msanii humo bado Vile Vipimbi Viwili vilivyo mkimbia Mfalme, Kingine kipo kwenye game karibu miaka 10 kinatapatapa tu..
Mkaruka Kwani alichoongea huyo jamaa Ni uongo?Na Wewe msomi fanya tuone tofauti yako na Harmonize
Hadi ulimi ukose ladhaYaani wewe umeona jina tu?
Wenzio wametoa point za maana.
Utalamba miguu watu mpk lini dogo
Sasa utakuwajeHuyo dogo sijawahi hata kushawishika kumsikiliza. Namuelewa yule dogo wa Kiba wa kuitwa Tommy Flavor ingawa Kiba naye anafail kwenye kupromote wasanii wake
Nouma Sana ....tumpe mda jombasHamnamo Msanii humo bado Vile Vipimbi Viwili vilivyo mkimbia Mfalme, Kingine kipo kwenye game karibu miaka 10 kinatapatapa tu..