uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Cp8=Cha pombeCP=Crazy Power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cp8=Cha pombeCP=Crazy Power
Very nice song, na alichagua vyema watu wa kushirikiana nao.Rest in peace. Wimbo wake wa 'Action' ni moja kati kumbukumbu zitakazomfanya asisahaulike kamwe.
MI PIA NIMEFANANA NAYEDuuh jamaa kafanana na Mlela balaa
Namjua sana. Sema alipotoa ile nyimbo ya Action nikajua atakuwa amehamia mbeleKama ni kizazi cha muziki w kina Marioo hutomjua kirahisi
Huko inakochachafya imewamaliza?bila kuchua tahadhari na kuacha midhahaa COVID19 itatumaliza, RIP CPWAA,
Yeah ..kwa pamoja walikuwa wanaitwa packlane enzi zetu za ujana ilikuwa tukienda club halafu iwe nyimbo hiyo haijapigwa aisee Raha ya club haiwezi kuwepo kabisaBaby iam sooorrry( suma lee)
Kuna mwingine ana sauti nzito anaitika sorry sorry
Ndo huyu kaka?
Action Ni 1 ya nyimbo Bora za muda wote kwa tzKwanza hyo action ndo ilikua bonge LA song aiseee
Hii ngoma acha kabisa .. humu Ms Trinity ndio alidhihirisha kwamba wasanii wa mbele na bongo level zao Ni tofauti kabisa ... Mwanadada alijua kupita humu ile mbaya
Tupieni hiyo ngoma, RIP..Rest in peace. Wimbo wake wa 'Action' ni moja kati kumbukumbu zitakazomfanya asisahaulike kamwe.
[emoji16][emoji16][emoji16]kabisa Leo watupisheDaah 6in the morning hahaha,Nafasi nyingine,Taifa la bongo ndani kuna noorah,Parklane,Complex na mchizi flan hivi mhindi sijui mzungu yule,hapa watoto kama Innocentindependent hawaelewi kinaongelewa kitu gani