TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Unarudi kwenye kuangalia title.. na ndio maana nilikuambia rudi angalia origin ya neno engineer. Kutoka kwenye origin ya ilo neno yeyeto anaweza kufanya kilichopo pale huyo ni engineer... awe na cheti au hana cheti.. ila atakosa cheti tu, kama nyie mnaoenda shule kutafuta haya makaratasi
Kwahiyo unachotaka kusema ni yeyote anayejua kuhesabu na kutunza hela ni mhasibu na anaweza akaajiriwa kama mtalaamu?
 
Jack pemba,kibonde,bob fish,byatto dah
Upanga hakuna watu dizain hiyo sahv
Don bosco pia syo kma ile zamani kusaga na bony wanakja piga mziki hku vijana wanacheza kikapu na michezo nyingine
Waasia wamewahamisha wabongo asilia upanga
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Jack aliwachangisha watu hela za harusi, halafu akasepa UK. Ule mchango wa harusi kumbe watu wamemchangia nauli.

Leo nikimuona Pedejhee mkubwa mjini nacheka sana.

Kulikuwa na characters kama movie hivi.
 
Huwezi kunielewaz kwasababu sijafungwa na mfumo. Nipo nje ya box.. na nimeajiri ma engineer kwa taarifa yako naongea kama muajiri wa ma engineer na ninaongea kama engineer lakini pia naongea kama IT engineer.. umeshikwa akili na mfumo mie akili yangu haijashikwa.. ni ngumu sana kunielewa maana huwa sipendi kuwaza kama wengi wanavyo waza
Poa mhandisi, no hard feelings
 
Biashara ni uwanja tofauti kidogo huku shule inaweza isiwe na umuhimu sana mkuu, pengine its more art than science
Ona sasa.. ushakosa balance. Ilivyo biashara ndivyo ilivyo engineer. Kama biashara unahisi hakuna umuhimu na engineer ni hivyo hivyo
 
Ona sasa.. ushakosa balance. Ilivyo biashara ndivyo ilivyo engineer. Kama biashara unahisi hakuna umuhimu na engineer ni hivyo hivyo
Ni padogo sana unaposhindwa kunielewa,mi sijakataa mtu kuweza kufanya vitu vya kiufundi hata kama hajasomea ufundi, mjadala ulikua ni criteria gani zinakufanya kuwa na taaluma flani.
Pia biashara nyingi iwe ni rasmi ama zisizo rasmi zinafanywa bila taaluma na zinafanikiwa ila sio kwa haya mambo yanayohitaji taaluma
 
Ni padogo sana unaposhindwa kunielewa,mi sijakataa mtu kuweza kufanya vitu vya kiufundi hata kama hajasomea ufundi, mjadala ulikua ni criteria gani zinakufanya kuwa na taaluma flani.
Pia biashara nyingi iwe ni rasmi ama zisizo rasmi zinafanywa bila taaluma na zinafanikiwa ila sio kwa haya mambo yanayohitaji taaluma
Na mie narudi back kwenye origin ya neno engineer. Huenda upo sawa kwa sehemu uliyopo na kwa standard ulizopo. Upo sahihi lakini
 
Umekalili tu, IT Engineer kibao tumefanya vitu vikubwa sana kwenye ma bank na makampuni ya simu.. endelea kumeza
Huyo anakuchukulia poaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatz mkionekana kwenye ule uzi wa pisi kali dem
Watu wanahisi kama vichwani watu weupe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe kna mashine humu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Jack aliwachangisha watu hela za harusi, halafu akasepa UK. Ule mchango wa harusi kumbe watu wamemchangia nauli.

Leo nikimuona Pedejhee mkubwa mjini nacheka sana.

Kulikuwa na characters kama movie hivi.
Msnz sn yule alishawahi nipiga 15000 miaka ile
Khs mambo ya summer camp nje
Ila na mm nlikujaga mwibia viatu ngoma ikawa draw
Jamaa akili ya kupiga kitambo sana anayo
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ona sasa.. ushakosa balance. Ilivyo biashara ndivyo ilivyo engineer. Kama biashara unahisi hakuna umuhimu na engineer ni hivyo hivyo
Acha kufosi kuwa engineer wewe wewe ni IT inatosha sio kisa umeajiriwa na kikampuni uchwara kwenye nafasi ya uinjinia ndio ujiite injinia hauqualify kuitwa hivyo, short and clear.
 
Back
Top Bottom