TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Ni msanii wa bongo fleva.. kitambo flani walikuwa na kundi lao linaitwa Park leen ( sina hakika kama nime spell well)

Miongoni mwa nyimbo alizopata kuimba ni kama:
1. Nafasi nyingi
2. C Pwaa
3. Action

Alipata kuwa na sauti matata sana..

RIP Cpwaa
 
Sasa wewe unaitwaje Engineer wakati ERB hawakutambuwi? Tafsiri yake wewe ni fundi tu wa mtaani maana ERB hawasajili watu wasio na vigezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…