Mkuu utajuaje kama alipo yeye ni saa nane inaelekea saa tisa ya alasiri?Maseto hivi sasa ni saa saba kasoro usiku na kesho ni jumatatu; unashindwa kulala na unawaza maigizo ya wasanii kwenye msiba wa masogange?
Yawezakana kweli akawa yupo gamboshMkuu utajuaje kama alipo yeye ni saa nane inaelekea saa tisa ya alasiri?
Inashangaza na kusikitisha kwamba mtu anajifanya kuzimia wakati mkono una nguvu za kushika kitambaa cha mkononi (leso).
Kuna msanii mwingine anajifanya ameshindwa kuendelea kuimba akaangua kilio.
Ni ajabu wasanii wetu kufanya kama wako kazini kwao kwenye msiba wa mwenzao.
Kwenye msiba wa Kanumba wasanii waliunda kamati ya mazishi ambayo sehemu kubwa waliiba michango ya waombolezaji.Lakini safari hii wasanii baada ya kuona hakuna cha kuiba wameamua kufanya usanii (kwenda location).
Halafu hao hao ndio walikuwa haters number one wa marehemu nyamisambwandaInashangaza na kusikitisha kwamba mtu anajifanya kuzimia wakati mkono una nguvu za kushika kitambaa cha mkononi (leso).
Kuna msanii mwingine anajifanya ameshindwa kuendelea kuimba akaangua kilio.
Ni ajabu wasanii wetu kufanya kama wako kazini kwao kwenye msiba wa mwenzao.
Kwenye msiba wa Kanumba wasanii waliunda kamati ya mazishi ambayo sehemu kubwa waliiba michango ya waombolezaji.Lakini safari hii wasanii baada ya kuona hakuna cha kuiba wameamua kufanya usanii (kwenda location).
Kafa muigizaji ulitazamia uone akina Ndemla na Magozi yao ya mtanange? Acha waigize,best way of mourning. I admit that.Inashangaza na kusikitisha kwamba mtu anajifanya kuzimia wakati mkono una nguvu za kushika kitambaa cha mkononi (leso).
Kuna msanii mwingine anajifanya ameshindwa kuendelea kuimba akaangua kilio.
Ni ajabu wasanii wetu kufanya kama wako kazini kwao kwenye msiba wa mwenzao.
Kwenye msiba wa Kanumba wasanii waliunda kamati ya mazishi ambayo sehemu kubwa waliiba michango ya waombolezaji.Lakini safari hii wasanii baada ya kuona hakuna cha kuiba wameamua kufanya usanii (kwenda location).
Cc:Joowzey acha fitina,jibu hoja kwa hoja,umejuaje yupo in the same GMT as yours? Sio habar za Gambushi,yani ndivyo unavyojibu hoja huko kwenu hivi? Kweli acha 1.5tr Mapanya waendelee kuzisaga tu,maana walaji sahihi ndo wewe ambao vichwa vyenu sio kufikiria hoja bali kushikilia masiko,pua ,mudomo na kuotesha mafurushi ya nywele[emoji23]Yawezakana kweli akawa yupo gambosh
Aiseee nilikuwa nakagua Mara mbili mbili pichahahhaha nimecheka sana jamaa yuko makini asidondoshe lesso yake
na wewe hulali?Maseto hivi sasa ni saa saba kasoro usiku na kesho ni jumatatu; unashindwa kulala na unawaza maigizo ya wasanii kwenye msiba wa masogange?
Biblia inasema, wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu, Marehemu Agnes pamoja na mapungufu yake ambayo mengi aliyaonyesha hadharani bado Yesu anamuona mtu wa muhimu kwake, kupitia msiba huu tuliweza kuwafikia watu wengi hasa wasanii wenzake kwa kuwagawia vitabu ambayo ni njia nyingine ya utume.Zaidi Mungu atusaidie kuishi maisha yanayompendeza na kuipendezesha dunia kabla mauti hayajatufika,hakuna mwanadamu mwenye haki.Hahahaha nadhani kwenye msiba huu kuna kitu cha kujifunza hasa wasanii wa kike. Juzi msanii Roma alisema watu wasipost picha za uchi za masogange sasa wapost zipi wakati enzi ya uhai wake alikuwa anapiga picha za namna hiyo. Na kanisa la wasabato hili pia mmefunika kombe mwanaharamu apite.
Nasikia siku hizo wapo hata waombolezaji wa kukodi kwa pesa. Sikitiko.Kafa muigizaji ulitazamia uone akina Ndemla na Magozi yao ya mtanange? Acha waigize,best way of mourning. I admit that.