Msanii Isabela asasambua nguo zote baada ya kufakamia Pombe za bure

jamani jamani... aibu aibu aibu, vya bure vinauwa
 

Wasi wasi wangu kwa aliyechukua picha,mwisho wake ulikuwaje.?
 
mkuu weka na hiyo picha aliyokuwa uchi au kama vp nitumie kule chemba.
 

Che machi kwee! shonuu?!
 
Kha pombe gani hizi tena wajameni au ndo vya bure vinaua???????
 
Kudadadeki...nimesha-save hizi picha kwenye memory card.
 
hiyo picha anaonekana alijianda kabisa kwa kuja kuvua baadae..naona kama umemkosea kumtoa hapa atakuwa alikuwa katika kazi yake..
 
Ni kweli kwani Watanzania wengi wameshabadilisha mitazamo juu ya mstakabali wa taifa lao, raslimali zao na wao wenyewe pia kwani hali ni tete. Aluta continua.
 
Nadhani mtoa mada ndie mpiga picha,atueleze mwisho wa siku alishia wapi ktk mchakato huo?
Mzee mwenzangu weka wazi bwana
 
Inaonekana hii Tasnia ya Bongo movie sio mchezo maana haiishi vituko??

Lulu, wema, Whopler, Ndikumana, Auntie Ezekiel...

Wote ni full kujiachia.:A S kiss::shock:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…