JaidenG
JF-Expert Member
- Oct 4, 2021
- 740
- 969
Kwer wew mtoto wa nzi ningeshangaa kama ungeongea cha maanAWanaume tulipenda wanawake weupe weupe wakajichubua, tukapemda viportable wakaanza diet kupunguza unene, tukapenda misambwanda wakaanza dawa na upasuaji kuongeza nyenye ..Sasa kikao kijacho tukubaliane tuanze kupenda wanawake wenye MAKOMWE...tuone watafanyaje Hawa viumbe....wasituchnanganye tuwachanganye na sisi.