Msanii Johari anatafuta mume yeyote aliye tayari

Msanii Johari anatafuta mume yeyote aliye tayari

likandambwasada

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
5,402
Reaction score
6,081
Akihojiwa na EATV msanii mkongwe aling'ara kwenye maigizo ya Kaole 'BLANDINA CHAGULA' maarufu kama Johari ameeleza kuwa, anatafuta mume ambaye ana malengo na ambaye yupo tayari kumwoa.

Msanii huyo aliyejizolea umaarufu katika movie yake ya 'JOHARI PT. 1&2' enzi zake alikuwa anagombewa na vigogo mbalimbali wenye pesa na waigzaj wenzake ikiwemo ray na marehemu kanumba ambao mara kadhaa walipigana vikumbo kumgombea.

Lakini wahenga wanasema, ujana na nguvu ni vitu vya 'kwisha'..

Yeyote aliye tayari kumwoa johari basi amtafute maana masharti yamepunguzwa kwa 95%

Hili ni funzo kwa dada zetu wanaoringia uzuri, ujana na umaarufu wao, waache kuutumia vibaya kuepuka kadhia hapo baadaye.
 
Ndo wadada wajifunze! Akijipiga uso wa makeup akapita mtaani miluzi mia kidogo anapigiwa anahisi yeye ni mzuri wa level nyingine full kulinga na kubagua wanaume. Kukicha kukachwa anaitafuta miluzi haipatikani, aliowalingia nao wanamlingia

Hapo ndo utasikia kauli za kujikatia tamaa eti KUOLEWA SIO LAZIMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saju b ahahaha kwa hyo kajitabiria.

cephalocaudo hata wewe nenda tu, nafasi iko wazi

mwenda wazimu hawachelewi kuexpiry matokeo yake wanaolewa na ambao hawakuwatarajia na hawaridhk nao.
Umri wangu bado mkuu, kupalamia hayo mambo. Ndio kwanza npo kwenye 20s wakati huyo mama atakuwa anaelekea kwenye 40

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Akihojiwa na EATV msanii mkongwe aling'ara kwenye maigizo ya Kaole 'BLANDINA CHAGULA' maarufu kama Johari ameeleza kuwa, anatafuta mume ambaye ana malengo na ambaye yupo tayari kumwoa.

Msanii huyo aliyejizolea umaarufu katika movie yake ya 'JOHARI PT. 1&2' enzi zake alikuwa anagombewa na vigogo mbalimbali wenye pesa na waigzaj wenzake ikiwemo ray na marehemu kanumba ambao mara kadhaa walipigana vikumbo kumgombea.

Lakini wahenga wanasema, ujana na nguvu ni vitu vya 'kwisha'..

Yeyote aliye tayari kumwoa johari basi amtafute maana masharti yamepunguzwa kwa 95%

Hili ni funzo kwa dada zetu wanaoringia uzuri, ujana na umaarufu wao, waache kuutumia vibaya kuepuka kadhia hapo baadaye.
Saiz kachujaaaa hana dili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom