ZVI ZAMIR
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 921
- 2,163
Nadhani wengi wenu humu mnamfahamu huyu msanii wa miondoko ya Kufoka wanaita HIP HOP, alikuwa moja ya matunda ya Bongo star search..
Ni muda sasa sijamsikia na Wimbo wowote ule mpya .. Ningependa kufahamishwa kama kaachana na Muziki au la!
Niko nasikiliza Kibao chache cha NI NDOTO..
Ni muda sasa sijamsikia na Wimbo wowote ule mpya .. Ningependa kufahamishwa kama kaachana na Muziki au la!
Niko nasikiliza Kibao chache cha NI NDOTO..