AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Tumpe namba ya Mwamposa au ya Mganga?wanaaza kusaka mchawi nani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumpe namba ya Mwamposa au ya Mganga?wanaaza kusaka mchawi nani.
Waswahili mmesema hadi karudi Kitunda.Kale kasauti " Bora nirudi kijijini"
Ni kweli kama wacheza mpira wa enzi hizo embu fikiria mtu kama zamoyoni mogella kwa mpira ule kipindi hiki angekuwa ulayaKutoka kimziki ni swala la msimu.....kipindi cha Kina Kali P walipiga mziki mzuri sana lakini nyakati hazikuwapa fursa ya kukunja mamilioni.
Hahaha we tunakaa mtaa mmoja. 😁😁😁Wasanii wa zamani wengi wamevurugwa wana stress sana.
Mb dogg nipo nae kitaa ubungo makuburi.. haeleweki yaani
Ndio miaka 22 ya 2000's😂😂😂
Huyu jamaa sijui alifeli wapi aisee....2005-2009 alikuwa kwenye peak sana ila akaja kupotea ghafla aiseeWasanii wa zamani wengi wamevurugwa wana stress sana.
Mb dogg nipo nae kitaa ubungo makuburi.. haeleweki yaani
Sasa na wakina Loon utasemaje?Muziki wa zamani haukuwa na hela ndio maana wanauchukia.
Internet na Digital platforms ndio zimeleta utajiri kwenye muziki. Leo hii ray vanny anapewa ubalozi wa tembo card crdb na kukunja milioni 500. Anaanzia wapi kuuchukia mziki.
Huwezi msikia alikiba aseme anauchukia mziki.. huku ameimba toka enzi za kina Kali P wanaimba
Hii sio tz pekee hata marekani wanaacha muziki na kumrudia muumbaWabhongo bhana waishagafeli maisha🤥
Mzee yusuphHebu hukooo.....aliaga mzee yusuph, amezungukwa na masheikh anabubujikwa michozi, yuko wapi leo. Njaa ni kitu kingine
Peak ipi? Kwa nyimbo ngapi? Alikuwa na rap katuni style wala hakuwa na peak yoyote.Huyu jamaa sijui alifeli wapi aisee....2005-2009 alikuwa kwenye peak sana ila akaja kupotea ghafla aisee