Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Kwa wapenzi wa Rap za S.A mtakubaliana nami kua huyu nigga anajua sana na hili lisauti lake....
Anajua kuitumia besi yake haswa. Siku zijazo naona hata Cassper Nyovest ataachwa mbali. Biti kali flow za kibabe.
Kashamgaragaza Rap wa ngu pendwa K.O. naona K.O kukaa kimya kwake muda mrefu ndo kumemtoa relini.. Japo hua sielew wanaimba nini ila Huyu jamaa napenda nyimbo zake sana. Tupa kule Kid X, Anatii, Rick ricky, , cassper, K.O, Emtee, Major league djz, A.K.A na wengineo (Nasty C pia yuko on fireee)
Sikiliza ngoma zake kama
Ngud
Spirit
Na hii vur vai utakubaliana namii
Anajua kuitumia besi yake haswa. Siku zijazo naona hata Cassper Nyovest ataachwa mbali. Biti kali flow za kibabe.
Kashamgaragaza Rap wa ngu pendwa K.O. naona K.O kukaa kimya kwake muda mrefu ndo kumemtoa relini.. Japo hua sielew wanaimba nini ila Huyu jamaa napenda nyimbo zake sana. Tupa kule Kid X, Anatii, Rick ricky, , cassper, K.O, Emtee, Major league djz, A.K.A na wengineo (Nasty C pia yuko on fireee)
Sikiliza ngoma zake kama
Ngud
Spirit
Na hii vur vai utakubaliana namii