Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
msanii wa muziki Judith Wambura..au Lady JayDee..kwa umaruufu..wake kwamba siku ya Jumatatu anatarajiwa
kufikishwa mahakamani katika mahakama ya wilaya ya Kinondoni......
akizungumza kupitia page yake facebook,twitter amesema kwamba amepokea barua toka mahakamani kuwa
anatakiwa kufika...lakini katika barua hiyoo hawajaeleza chanzo cha yeye kupelekwa mahakamani
source;yeye mwenyewe,..kwenye account yake ya twitter na facebook
kufikishwa mahakamani katika mahakama ya wilaya ya Kinondoni......
akizungumza kupitia page yake facebook,twitter amesema kwamba amepokea barua toka mahakamani kuwa
anatakiwa kufika...lakini katika barua hiyoo hawajaeleza chanzo cha yeye kupelekwa mahakamani
source;yeye mwenyewe,..kwenye account yake ya twitter na facebook