Msanii Lad JayDee kupelekwa mahakani siku ya Jumatatu...

dah sasa hapo naona wanataka waanze kumfilisi huyo mama kwa kumhudhurisha mahakamani. mwisho wa siku itakuwa "if u cant fight them join them."
 

hivi hakuna njia yeyote ambayo anaweza akaikwepa hiyo restrain order amalizie hiyo hadithi yake? au mahakama ikishaamua hupewi mda wa kujielezea tena?
 
Mwizi wa jasho la wasanii Ruge ameshindwa vita.
 
Asitupigie kelele bwana, huyu mdada vipi mbona anajitoa fahamu? huyu JD anataka kuleta sheria zake kwenye chombo cha watu. AFUNGUE REDIO YAKE FINITO
 
Asitupigie kelele bwana, huyu mdada vipi mbona anajitoa fahamu? huyu JD anataka kuleta sheria zake kwenye chombo cha watu. AFUNGUE REDIO YAKE FINITO

maskini dada wa watu aliamua kukaa mbali lakini bado mnamfuata kwenye biashara zake na mnataka akae kimya....mna roho mbaya sana nyie watu,akiongea mnautangazia umma eti muda wake umeisha na mijinga yote inaitikia ndioo ruge kasema jide kashaisha.
 
maskini dada wa watu aliamua kukaa mbali lakini bado mnamfuata kwenye biashara zake na mnataka akae kimya....mna roho mbaya sana nyie watu,akiongea mnautangazia umma eti muda wake umeisha na mijinga yote inaitikia ndioo ruge kasema jide kashaisha.

Mara nyingi ugomvi wa mwanamke na mwanaume si wa kuuvalia njuga sana, so kaka yangu we nenda ukafanye yako kwani haya ya jide na ruge ni marefu hasa
 
Ruge kashakuwa ki2ko mbele ya umma....mijitu mingine bana eti ant-pirates movement!! kweli nimeamini usemi usemao "MCHAWI NDO ANALIA SANA MSIBANI" ##bravoooo *JiDe*


TeAm AnaCoNdA##
 
joto hasiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....clouds radio ya mtuuuuuuuuuuuuuuuu...tenaaaaaaaaaaaaaa..............komandoooooooooooo
 
ni kweli ile ni redio ya watu RUGE NA KUSAGA
 
Ruge kashakuwa ki2ko mbele ya umma....mijitu mingine bana eti ant-pirates movement!! kweli nimeamini usemi usemao "MCHAWI NDO ANALIA SANA MSIBANI" ##bravoooo *JiDe*


TeAm AnaCoNdA##

humu ndani kuna watu lazima wakuondoe uchovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…