Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi

Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.

Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.

Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
Wivu tu
 
Alafu si alikua anajiita mlokole huyu kuna siku alipost picha yupo BCIC kwa Askofu Gamanywa.Hapo ndio nduguzetu walokole wanavyokuwaga wanafiki,Zamani walikua wanatucheka wakatoliki eti kwanini tunafungisha ndoa wakati MTU kashazaa tayari sasa kipo wapi sikuhizi mbona walokole nao wanafungisha ndoa mwanamke ana mimba tayari akiingia kanisani na kibakuli cha kutemea mate.
Duuu!!! Hiyo noma!!!!!
 
Back
Top Bottom