St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
We kweli paka mweusi na haufai katika jamii na ni wakupigwa mawe kama paka weusi wenzako tulivokuwa watoto.[/QUOTE]
:becky::becky::becky:Duh ulivyokuwa mtoto ulikuwa paka mweusi na kupigwa mawe Kaaaaaaazi kwelikweli Paka Mweuthi mie wala thikupigwa na majiwe nilivyokuwa mtoto
We kweli paka mweusi na haufai katika jamii na ni wakupigwa mawe kama paka weusi wenzako tulivokuwa watoto.[/QUOTE]
:becky::becky::becky:Duh ulivyokuwa mtoto ulikuwa paka mweusi na kupigwa mawe Kaaaaaaazi kwelikweli Paka Mweuthi mie wala thikupigwa na majiwe nilivyokuwa mtoto
Usipindishe maneno tulikuwa tunawapiga mawe paka weusi hasa usiku.
Thibitisha!
lulu akiwa chakari baada ya kulewa pombe za muhindi
avua nguo ukumbini (global publishers)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:a s-danger:hivi kwa nini waaruhusu watoto kuingia ktk sehemu za starehe usiku:a s-danger:
Binti anatia aibu!!
Binti anatia huruma!!
Is this the begining of her end??
Na wazazi tuko wapi.......?
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
16 yrs oldana umri gani huyu binti?
16 yrs old
Kama umri ndiyo huu, wazazi/walezi wamtoto wanaweza kabisa kushupalia hii swala hata kulipeleka mahakamani ikiwezekana. Hata kama mtoto ni mtukutu, jambo la hiyo baa kukubali kumuuzia pombe ni kinyume cha sheria haijalishi tabia yake.
Dada huyo Lulu mbona mkubwa kuna wengine siku hiyo hata kaunta walikuwa hawafikii wanakuomba uwanunulie soda sasa akipata wakumnunulia bia si ndio basi tena.
Daaaaah kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni, hiki kitoto juzi juzi tu tunakiona kinaact na leo watu wanakihemea kifuani na mgongoni? Hivi shule kinaenda kweli au ndo kimeshajua jiji sasa kina elimu ya chuo kikuu, maana mjini shule. Mi nawalaumu wazazi wake kwa kukiachia wakimege na kulewa kama ahamada na nafikiri nao walimpata kwenye mazingira hayo hayo maana mtoto wa nyoka ni nyoka.Basi sisi yetu macho maana "MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI".
Mkuu ni kweli kabisa, kama ni minor hawa akina shigongo watalipa hadi wafunge biasharaKama umri ndiyo huu, wazazi/walezi wamtoto wanaweza kabisa kushupalia hii swala hata kulipeleka mahakamani ikiwezekana. Hata kama mtoto ni mtukutu, jambo la hiyo baa kukubali kumuuzia pombe ni kinyume cha sheria haijalishi tabia yake.
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
Mwenye club ashitakiwe ....watetezi wa haki za watoto mko wapi?