Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Status
Not open for further replies.
darasa la nne hapo kajitahidi kuna kamoja kalikuwa la pili libaba limeoa likaanza kukachakachua maticha waliposhituka na kukaita ofisini baada ya kukabana kakaeleza kila kitu ..cjui dunia inaelekea wapi?
hivi wa kumlaumu hapa nani? Kati ya hako katoto na hilo lizee lisenge?
 
kuna ule wimbo unaitwa CHANGANYA CHANGANYA umeimbwa na Enika kama sikosei, hako kabinti kali act mambo flani hivi ya kutoroka home usiku wazazi wamelala, labda ndo kanaweka kwenye reality sasa.
jamani humu JF kama kuna mtu yeyote wa karibu na huyo binti ajaribu kuongea naye na kumweleza hii dunia inakoelekea yawezekana anapotezwa na kampani halafu wazazi wapo busy na mambo yao au wanamwacha sababu labda wanapata pesa through her coz ni msanii cjui, lakini awe na maadili mema jamani, aaaaarghh!!!! me napata hasira!!!:mad2:
 
Dunia Imeharibika jamani, na kwa Kiasi Fulani Wazazi hawawezi kukwepa kulaumiwa kwa watoto kuharibikiwa mapema, Mtoto akishakuwa star basi na Mzazi naye anajiona Star, matokeo yake anashindwa kuplay role yake kama Mzazi

In Short Wazazi Huwa Wanalewa sifa za Watoto wao

Haka katoto nilikuwa nakaona kwenye maigizo sijiu ni kaole au nini, nimesikitikita sana
 
lulu.jpg
 
Nimecheka sana nilipoiona hii thread.
Siku chache tu nilianzisha trhead kwenye jukwaa la picha.
Nikasema 'she is not a child anymore'
Cheusi mangala akawa wa kwanza kunikemea.
Leo amejionea. ahahahahah.
 
tatizo la watoto chini ya miaka 18 kutoingia kumbi za starehe,limeainishwa katika sheria za chi hasa sura ya 77 ya sheria za nchi,pia wasimamizi wakubwa wa sheria hizi ni polisi lkn nao tatizo wengi hawazijui hili ninalouhakika % kubwa! km wangekuwa strict mmiliki akikamatwa anashitakiwa na akipatikana na hatia anapewa onyo kali kusingekuwa na hata vifo vinavotokana na disco toto!
 
heeee! club gani hii jamani? siamini kama kuna club inaruhusu watoto kuingia uchi

Jamani tunalaumu klabu wakati watoto tunawaachia wenyewe wajiendee ovyo kama mbuzi waliokosa mchungaji? Huyu binti tokea mwanzo dalili zilikuwa wazi kwamba kipo anachokitafuta, mungu apishilie mbali naona anakipata sasa!
 
Nimecheka sana nilipoiona hii thread.
Siku chache tu nilianzisha trhead kwenye jukwaa la picha.
Nikasema 'she is not a child anymore'
Cheusi mangala akawa wa kwanza kunikemea.
Leo amejionea. ahahahahah.

yaani wee acha tu niliona aibu kwanza nikakosa cha kuongea kabisa,hata hivyo mkiamua kumuona kuwa bado ni mtoto mnaweza!
 
Watengenezaji wa pombe wameweka ONYO, kwamba: Hairuhusiwi kuuzwa kwa watu walio chini ya miaka 18.

Huyu binti kafikisha miaka 18? TAMWA wako wapi? Au wanafuatilia maslahi yao Uchafuzi Mkuu?

Hili nalo ni suala la kisheria, kwani hapa, Sheria ya Vileo inatamka wazi kwamba hakuna klabu inayoruhusiwa kuuza pombe kwa mtu ambaye hajafikisha miaka 18! Polisi hawalioni kama hili ni tatio kwa kuwa klab yenyewe - nimesikia - ni ya mtu mkubwa serikalini. Mtu mkubwa ni vigumu kumpeleka jela?

-> Mwana wa Haki
 
Aisee! nilichelewa kuiona hii sredi! Aaah katoto Ameshaapotea haka jamani sijui wazazi wake wamekashindwa? katachakakuliwa hadi basi aka kakifikisha miaka 25 katakuwa kamekwisha habari yake.
 
Anastahili kufukuzwa shule. Jamani ustaa wa bongo ndo hivi? mtoto mdogo analewa kiasi hiki hadi kusaula? Jesus is coming soon...
 
wasanii wa tz bwana.filamu moja naye anajiona van damme,ako katoto kalijiona kastaa siyo
 
yaani kile kitoto ndo kimeshakua hivyo? DU, ni kidogo kumbe tayari kimemalizwa...jamani, jamani...hivi mtu anayekalalia hata katoto kama hako hana hata uruma? hata uzoefu kametoa wapi lakini...si katanisumbua tu?
 
yaani kile kitoto ndo kimeshakua hivyo? DU, ni kidogo kumbe tayari kimemalizwa...jamani, jamani...hivi mtu anayekalalia hata katoto kama hako hana hata uruma? hata uzoefu kametoa wapi lakini...si katanisumbua tu?

Kanaweza kukupelekesha puta ukashangaa.
 
Naona huyo jamaa alikuwa anamvizia kama 'fisi'...alikuwa anasubiri dogo azimike tu....au inawezekana ni 'baunsa' wake!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom