Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Status
Not open for further replies.
we noma kidogo tu unakimbilia kuoga, utaweza kweli kuwa mwanachama wa kudumu wa infidelity?

All in all huyu mtoto inabidi achukuliwe hatua kali zinazolingana na umri wake na si matendo yake, hili iwe fundisho kwa watoto wengine, na kwa jamii husika, inasikitisha kwakweli.

hata huyo mhindi pia anastahili kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchukua mtoto mdogo na kumlewesha kiasi hiki, tena yeye ndio mwenye makosa zaidi, vile kapevuka kiakili na bado kachukua mtoto mdogo ambaye hana upeo wa kutosha.
 
Hivi huyu binti alikuwa beach au ukumbi wa disco/club? jamani huyu anawazazi kweli? alitokaje nyumbani kwao na hayo mavazi ( sijui hata kama yana stahili kuitwa mavazi)! ooooh! tate nane!
 
Tatizo hapa si wazazi bali yeye mwenyewe,amekwishajiona super star hapa Bongo na kusahau kama ana wazazi na anaishi na jamii hivyo anatakiwa awe na adabu.
Kwa utoto huyu si mtoto tena na anajua nachofanya,hivi alivyovaa ana tofauti gani na Fide Ilanga?Asilimia tisini ya mwili upo wazi,unadhani mtoto mdogo anaweza kuvaa kama alivyovaa huyu?
Binti nakuombea kwa Mungu akuepushe na balaa kubwa mbele yako na usipojirekebisha na kumrudia Mungu basi mwisho wako upo karibu sana.
 
Home of great thinker nilitegemea mgegundua kuwa hapo walikuwa wanaanda mojawapo ya scene za michezo yao ya kuigiza.
Dont take it serious.
Msidanganyike kirahisi hivyo.
 
Home of great thinker nilitegemea mgegundua kuwa hapo walikuwa wanaanda mojawapo ya scene za michezo yao ya kuigiza.
Dont take it serious.
Msidanganyike kirahisi hivyo.

sio scene,na hata ingekuwa ni scene bado nisingefurahishwa na mtoto wa mwanamke mwenzangu kujianika uchi ktk umri mdogo kiasi hicho:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
 
Home of great thinker nilitegemea mgegundua kuwa hapo walikuwa wanaanda mojawapo ya scene za michezo yao ya kuigiza.
Dont take it serious.
Msidanganyike kirahisi hivyo.

Mbona hapo kwenye interview yake hasemi hivyo kasema alikuwa ametoka anajurusha mkuu?
 
i am still not liking that bloated tummy look.

Bloated tummies should be punishable by law for any female of less than 35 years ( Age limit of 40 will be too much to ask for).

Gaijin, hii post kama sikosei ya nne unalaumu katumbo kakubw ainaonekana unachukia vitambi eeeh? Huyo chipis mayai plus bia vimeshamfikisha hapo....:becky:
 
tunda ni bivu tena mnoo ila halitachelewa kuharibika (kama tunda Nora ambalo sasa hivi ukilila unatapika mwenyewe)
 
Uvaaji wake tu ndio unaniacha hoi bin taabani...

attachment.php
 

Attachments

  • IMG00142-20101002-1459.jpg
    IMG00142-20101002-1459.jpg
    98.9 KB · Views: 445
Ile picha ingine iko wapi Mods kuweni fair kidogo. Au mmeipeleka kwenye jukwaa la kiutu-uzima wengine huko hatuna fursa hiyo. Kila ukibofya unakataliwa
 
sio scene,na hata ingekuwa ni scene bado nisingefurahishwa na mtoto wa mwanamke mwenzangu kujianika uchi ktk umri mdogo kiasi hicho:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
Pia kuna picha za uchi nimeziona sehemu watu wanasema ni huyu mtoto(Teamo) anaweza kutuelezea zaidi kuhusu hizo picha za uchi.
 
Dah! ngoja nikaoge
Wewe hebu rudi hapa unaenda kuoga umecahfuka nini? Sema watu wasikie..... maumivu ya kichwa uanza pooolee pooolee ila dawa unayo mwenye mzeee! Haaaaaahahaaa.........😛ound::dance:
 
hii thread haifi tu.
anyway,inaonyesha tulivyosikitishwa(ila nimeambiwa wengine eti wanaipigia ny.to hiyo picha):llama:
 
DIANA DABO-DIFFFFFFFF...HOLLLA BABYYY...I LIKE THIS " Yes i've made mistakes...life did not come with an instructions manual."...nadhani haka katoto kanahitaji kupewa-"LIFE INSTRUCTIONS MANUAL-na kasome page 22 "how to drink responsibly especially when u get out with a young billionaire and you have no room by any chance to front a bill even a single penny"....

 
3025007.jpg


LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)


sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!

.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??

hizi picha zenu mnazowakamua na kuwapiga uchi autaki hata kidogoakuna klabu utakayoruhusiwa nafikiri muulize ajute kufanya mapenzi ovyo na mafirauni na kuwaacha watuliivu kama ......(Waoawaji)
 
Pia kuna picha za uchi nimeziona sehemu watu wanasema ni huyu mtoto(Teamo) anaweza kutuelezea zaidi kuhusu hizo picha za uchi.

hata mm nimesikia eti kamepiga picha za utupu lk sijaziona.
 
hizi picha zenu mnazowakamua na kuwapiga uchi autaki hata kidogoakuna klabu utakayoruhusiwa nafikiri muulize ajute kufanya mapenzi ovyo na mafirauni na kuwaacha watuliivu kama ......(Waoawaji)

pdidy umeogea vitu vingi ktk sentensi moja:llama:
 
CHEUSI MANGALAAAAAAA.... PLEASE I DONT LIKE THIS...."is this the begining of her end??" HAJAWAHI HATA KUWA NA HIYO BEGINING SO HOW CAN SHE END NOTHING SHE EVEN THOUGHT OF BEGINING???...HUYU NI MTOTO TUU...TUCHUKUE MAJUKUMU YETU KAMA WAZAZI KILA TUKIMKUTA MAENEO YA WAKUBWA "TUNAMTIMULIA MBALI NA KUMRUDISHA NYUMBANI KWA BAKORA "AKAJISOMEE"......she is minor...anatakiwa anywe juice na apelekwe kula asikirimu na beach kila weekend...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom