Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Status
Not open for further replies.
i am still not liking that bloated tummy look.

Bloated tummies should be punishable by law for any female of less than 35 years ( Age limit of 40 will be too much to ask for).
 
He!,kumbe tulikuwa tuna kaunderestimate haka katoto kwenye hayo mambo,kamefikia hapo!!!
 
Teamo camera yako nzuri sana,inachukuwa picha very clear.
 
Dah! ngoja nikaoge
we noma kidogo tu unakimbilia kuoga, utaweza kweli kuwa mwanachama wa kudumu wa infidelity?

All in all huyu mtoto inabidi achukuliwe hatua kali zinazolingana na umri wake na si matendo yake, hili iwe fundisho kwa watoto wengine, na kwa jamii husika, inasikitisha kwakweli.
 
yaani kile kitoto ndo kimeshakua hivyo? DU, ni kidogo kumbe tayari kimemalizwa...jamani, jamani...hivi mtu anayekalalia hata katoto kama hako hana hata uruma? hata uzoefu kametoa wapi lakini...si katanisumbua tu?


Aaah wapi, unaweza wewe ndio ukaomba maji!
 
Huyu mtoto niliwahi kumkuta pale masai club usiku wa saa tisa, nikasikitika sana kukuona akiwa nusu uchi, kilichonisikitisha zaidi alikuwa ziro distance na huyu taji liundi!!!!!!!!!!!
 
Na nilimkuta yapata miaka mitatu iliyopita sasa sijui alikuwa shule ya msingi!
 
Mtoto kaonekana kwenye Luninga anataka kuvamia dunia,sasa kwa taarifa yake dunia itamvamia na si yeye kuivamia dunia,Shetani akishakuaibisha anakaa pembeni kuangalia jinsi unavyohangaika kuifuta aibu kwa garama kubwa na kabla hujaifuta inaibuka nyingine,si ajabu kabla hata ya wiki wakampiga picha za utupu baada ya kuleweshwa,binti kama huyu kajifunza ulevi hata senti za kunywa hana mpaka apate wa kumpa ofa si hatari hii,maana vile vimaigizo hata havina mafao ya kumuwezesha kwenda club na yeye ni msanii ili aonekane wa kisasa analazimika kwenda club kwa kudandia wahindi,kazi kwake dunia ni kuuubwa sana itamfunza tu maana hakufunzwa hapo awali!!!!
yaani nilikuwa asiamini macho yangu na masikio yangu nilipokuwa nkisikia habari za huyu mtoto.lakini from today on wards nimemshusha hadhi kabisa huyu mtoto.kumbe kana mambo makubwa haka loh!!!!mungu amsaidie,kwa khali hii akawezi kupona jaman yaani mijibaba haitakaacha weeee.kazi kweli kweli.
 
ivm0051.jpg
ivm0067.jpg
ivm0066.jpg
 
Dah kaoto bado sana haka, kanaingia dunia vibaya duh sikutegemea nilidhani katajali shule zaidi.
 
kupata vijisenti wakati akili haija komaa ndo matatizo yake hayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom