JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
- Thread starter
- #21
Kabisa kuna uwezekano huo.Hata huku kwetu huenda wenye maambukizi ni wengi ila inawaumiza zaidi wenye magonjwa yale sugu kama sukari, presha n.k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kuna uwezekano huo.Hata huku kwetu huenda wenye maambukizi ni wengi ila inawaumiza zaidi wenye magonjwa yale sugu kama sukari, presha n.k.
Nilifuatilia sana hii series yao kipindi mwanzo mwanzo tulipoingia kwenye STAR TIMES.Jamaa Character yake ilikuwa hataki Mke wake ajue kazi anayoifanya...kazi yake alikuwa ni Mlinzi getini, akiwa kazini anavaa unifomu akiondoka anapitia kichakani anabadilisha anavaa suti ndio anaingia nyumbani.
Tumeikimbiza ikaeda Kenya kuungana na wenzake.Sisi corona ilishaisha
Huu utani sasa.Sisi corona ilishaisha
Huu utani sasa.Tumeikimbiza ikaeda Kenya kuungana na wenzake.
Naona mpka hiyo corona ikupate ndo utatia akili shangaziAfadhali Kenya wana kumbu kumbu ya wazi ya waliokufa kwa corona. Kuna nchi zimedhurumiwa haki hii.
😂 😂 😂 😂, Oxford wanaangaika na 'Cure' ilihali Tz tuna 'prevention' kitambo sanaTumeikimbiza ikaeda Kenya kuungana na wenzake.
He's fine now Mr BaseKoinange yupo isolation pia
Wow! Good newsHe's fine now Mr Base