Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kwa Raisi Wetu Wa ManzeseNani huyo mkuu
We jamaa unaongea ujinga, fikiria wasanii wote wa Afrika wangekuja na mawazo kama ya Madee na wanamichezo unadhani isingekuwa na Impact? Sisi wa Afrika wkt tunakuwa na mawazo ya kipuuzi, ingekuwa Ulaya na USA ndio huo ujinga unafanyika unadhani ingekuwa kimya kwa watu maarufu kama ilivyo huku kwetu
Tatizo hafahamiki hata hizo harakati zake hazita msaidia angefanya diamond ndo ingeleta attention huko south Africa cos ni msanii mkubwa lakini pia anapendwa na watu lakini madee Nani anamfahamu uko south? Kama sio Kiki ni nini?Hii ndio hoja yangu sio kwamba alichokifanya ni kibaya hapana tatizo lake Hana influence yoyote
Lakini mama yao Mganda,baba mTanzaniawanae ni raia wa south ukumbuke
sawaLakini mama yao Mganda,baba mTanzania
Kwani Madee kasema anahitaji back up... Mbona mnakuwa wapumbavu hivyo..Kwa akili yako unavyofikiri hiv kweli diamond, Vanessa, alikiba wanaweza kumuiga madee alichofanya?
Ng'oeni na mabati ya msouth..
unafikiri hata ktk nchi ambazo wameanzisha vurugu kwa wasauzi lilianza kundi kuuuubwa au walianza watu maaaarufu au ni mtu mmoja mmoja kawavuta na wengine na impact zimeonekanaHuku nikutafuta Kiki sasa wewe hata ukifuta hizo ngoma zako huna impact yoyote uko south Africa kwenyewe hufahamiki
sjui ni uelewa au ushabiki, madee kafanya vile sababu ya kinachoendelea south, na je itakuwaje km wasanii wengine wakimfuata madee, na wananchi pia, unafikiri itakuwaje?? na je ktk nchi zilizokuwa na vurugu km DRC, sjui ZAMBIA, umewai kufikiria ni nani aliyeanzisha izo vurugu? ni watu maarufu au ni watu wa kawaida saaana na vurudu zikakuwa???Rais wa Manzese mnya barabarani??
Madee???
He aint no musician,just a journeyman!
unafiki mwingi kwa watanzaniaAngalau yeye kwa nafasi yake amechukua hatua...kuna wengine wengi walipaswa kuchukua hatua tangu mwanzo ila mpaka sasa wako kimya!
unajua wengi wanalichukulia jambo hili kishabiki na sio kimatokeoEti ni "Kiki" tu? Basi ni bora "Kiki" hii yenye mashiko ya kukemea uovu unaondelea Afrika ya Kusini, kuliko "Kiki" za wengine ambazo ni za kitoto na za kipuuzi, zisizo na faida kwa jamii.
Lets give credit where/when its due...
Kafanya maamuzi yake, kwa nafasi yake na mamlaka aliyonayo juu ya muziki wake
kwa io unataka kusemaje sasa?kwanza nyimbo zenyewe hazipigwi redion
sjui ni uelewa au ushabiki, madee kafanya vile sababu ya kinachoendelea south, na je itakuwaje km wasanii wengine wakimfuata madee, na wananchi pia, unafikiri itakuwaje?? na je ktk nchi zilizokuwa na vurugu km DRC, sjui ZAMBIA, umewai kufikiria ni nani aliyeanzisha izo vurugu? ni watu maarufu au ni watu wa kawaida saaana na vurudu zikakuwa???
Hahahah hata Mimi nimeshangaa SanaHuku nikutafuta Kiki sasa wewe hata ukifuta hizo ngoma zako huna impact yoyote uko south Africa kwenyewe hufahamiki