Msanii Madee unatuumiza na kututia hasira mno sisi Hustlers

Mayweather sijui atasemaje kama wewe gari la milioni 50 ndio umeona dili sana kiasi cha kuona gari ya milioni 3 sio gari ....
Naomba unisaidie tasfsri ya neno gari
 
Meta mad hiii shikamooooooo
Ila tuandae lira 5 za petrol kabisa just in case

Ovaaq
 
Halafu unabana pua eti mimi great thinker,wakati hii ndio thinking capacity yako,Nikuulize swali wale wanaovuta sigara hawachomi hela kweli,au ndio promoter kazini?
 
Ila mi najiuliza hii jeuri Madee kaitoa wapi ???
 
JAMII FORUM NAPO KUNA MBUMBUMBU WENGI HAMJUI KUWA HILO NI TANGAZO NA LEO MTAJAA SANA HAPO ESCAPE ONE
 
hivi mkuu hujajua tu maana ya "KUCHOMA GARI"? Mwenzio kamaanisha vingine

#Wasukumabwana
 
Ameshiba huyu jamaa,mkuu umenena,amelewa shibe.
 
Rejea wimbo wake wa vuvula anasema, yeye ni mfanya biashara, na ametawala toka manzese mpaka kimara pia kufa masikini ni ufala mm nashauri tupige kazii mbona mjini hela zipo kibaooo juhudi ndio muhimu michongo yote mnalalamika hamna pay!
 


wewe jamaa utakuwa si lijali kabisa

yaani mwanume/mke mzima unakuja kumuongelea mwanaume mwenzako hapa, sasa ili iweje, unamtangazia nani sasa kama sijui huyo ana miliki magari yenye thamani kama hiyo

harafu nani kakwambia kuna gari inauzwa sh millioni 3?

acha umbeya wewe
 
Mkuu Inatia Uchungu Sana Kuona GARI Ambayo Unapambana Kwa UDI Na Uvumba Kupata HELA Na Uinunue Kama NOAH Halafu Hivi Hivi Tu Kirahisirahisi INACHOMWA Moto. This Isn't Fair!
Migari kama hiyo ya bei huwa haiunguagi; inatoa moshi kiana tu kisha inabakia safi iking'aa kama imeoshwa
 
Nakushangaa uñapoongelea umaskini wa Watanzania wakati wewe umejificha kwa mgongo wa CCM unapiga tu na mfumo unakufeva. Fanya yako na msalimie nabii wako yule
 
mimi nasubiria kuina akichoma gari maana kashapigwa kimoja tayari
 
Namshauri Madee, kulikoni alichome hilo Gari ni Bora akalitoa Msaada kwenye Hospitali likatumika Kubebea Wagonjwa. Au akalipeleka Moja kwa moja kwenye serikali yake ya Mtaa huko manzese anakoishi na kulikabidhi huko ili lisaidie kubebea wamama wajawazito wanao patwa na Uchungu Usiku wa Manane.

Kwa kufanya hivyo anaweza akapata heshima kubwa sana ndani ya Jamii inayo mzunguka.

By the way Timu yake Imeshindwa tayari. Hivyo namsihi abadiishe fikra zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…