Msanii matata LULU na kashfa ya kuhongwa gari

Msanii matata LULU na kashfa ya kuhongwa gari

duh!!! mama yangu alisemaga kuzaa kwingine ni kutoa uchafu tumboni!!!!!!!
 
lulu nimekuandalia phonex mpya toka china jiandae kuoshea kitaa.sijui na mimi nitaandikwa kwenye magazeti sawa
 
Another upupu... Anauzuri gani huyo Tamaa tu zinatusumbuwa wanaume

wazee wa visukari lazima watamani vitu kama hivyi kujipoza kwa maginjwa yao, tehe tehe tehe
 
Dogo mzuri hata mimi na mfagilia, ila alianza vizuri kujitetea ikafika mahali akasema kwamba anatumia magari ya kukodisha hapo ndio kaharibu........angeendelea kujisifia.......
 
Hebu amalize shule kwanza ndio aanze mapito ya dunia, akiyakimbilia hayo ajue maisha matamu but mafupi
 
atasema nini zaidi ya kubisha kwamba sio yeye! scandal nyingine ngumu kupunch. Mi namlilia tu huyu mdogo wangu Eliza she is so young and immature alafu mijanaume haichelewi inatake advantage aaargh!
Hii site ya mzeewasupu kama ze new usweet vile duh
 
Back
Top Bottom