Tangu asubuhi naitafuta siipatiVideo yenyewe iko wapi tui-approve kama inakidhi viwango vya kuitwa BASATA
Tangu asubuhi naitafuta siipati
Hawa ndugu zetu nao waingie kwenye chama pendwa.........Mana kila ikitoka wanayoBaraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemtaka msanii Menina kufika katika ofisi zake jijini Dar es Salaam kwa mahojiano baada ya kusambaa picha na video zisizo na maadili za msanii huyo.View attachment 1229604
Video mbona zimezagaa kwan nyie hamna connectionMwenye video please
Ingia utube mzeeUngefanya la maana sana kama na hiyo video ungeweka tuione kwa faida ya wengine