kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
hivi mwananchi wa kawaida video zako zikivuja nao wanakuita....
mbona hawa kumuita gwajima?
Ameomesha kila kitu nje si atembee uchi tuuu? Laana tupuBaraza la Sanaa Taifa (BASATA) limemuita msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Menina ofisini kwake kwa mahojiano zaidi kuhusu video zake chafu zinazosambaa mtandaoni.
Taarifa hiyo iliyotolewa leo Oktoba 11, 2019 na Katibu Mtendaji BASATA, inamtaka msanii huyo kufika katika Ofisi za BARAZA hilo mchana wa leo.
Kwa siku mbili zilizopita kumekuwa na video chafu mitandaoni zikimuonesha, Menina akiwa utupu huku akijirekodi kwa njia ya simu.
View attachment 1229614
Gwajima msanii anayejitegemea 😄mbona hawa kumuita gwajima?
Wewe unataka kuwaweka wenzio matatani wasambaze halafu mambo sasa alale nao?Hii habari bila video haina maana
Hakuna photoshope rafiki shetwani ametamalakiNiulize kijinga tu, Manina mwenyewe ndo huyo pichani au mwingine?? Yaani vidume weshachezea hadi kupoteza hamu naye au ni kidume kilinyimwa kika photshop tu
Wangemshughulikia aliyefanya huo uchafu usambae.
[/QUOTE
Kasambaza mwenyewe
Kuna watu hawakumuelewa Lowasa aliposisitiza suala la ELIMU.hivi mwananchi wa kawaida video zako zikivuja nao wanakuita....
Huyo shetani baba wa watu mnamsingiziaga bure tu.Hakuna photoshope rafiki shetwani ametamalaki
Nikimwangalia huyu Dada alivyo mzuri ktk mavazi nawaza yale manundu nunduBaraza la Sanaa Taifa (BASATA) limemuita msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Menina ofisini kwake kwa mahojiano zaidi kuhusu video zake chafu zinazosambaa mtandaoni.
Taarifa hiyo iliyotolewa leo Oktoba 11, 2019 na Katibu Mtendaji BASATA, inamtaka msanii huyo kufika katika Ofisi za BARAZA hilo mchana wa leo.
Kwa siku mbili zilizopita kumekuwa na video chafu mitandaoni zikimuonesha, Menina akiwa utupu huku akijirekodi kwa njia ya simu.
View attachment 1229614
Lakini kweli maana inawezekana na yeyeanashangaa tyuuuuHuyo shetani baba wa watu mnamsingiziaga bure tu.