Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Mbona hakuna hiyo "habari "??
 
Dah sikujua kumbe bongo kuna mademu wazuri namna hii...aaah sio siri hili litoto lizuri wajameni
 
Connection ya video za kuvuja za ngono! Mkuu jifariji hata kwa video zengine za x😁 mbona sites za x shazi tu.
 
Naona mnamfanya Mungu kuwa mjomba wenu. Umesikia kuwa alikuwa hajui kuwa kuna siku Manina atatamani kutuonesha hiyo kitu yake ilivyo kubwa?? Kaonesha iliyo mali yake. Ifike mahali mtu akitaka kuuza sehemu yake iwe maini, mapafu au figo msimzuie kuionesha kwanza ndio apate mteja.
Muulizeni kama hata saa hii kama hana mtu anamsumbua kuomba apewe neema ya hata kuigusa tu kwa kidole. Biashara matangazo bhana. Acheni utoto. Mtu kaonesha tu tiharuki nchi nzima. Manina kaoneshaaaa angeikatapo mngefanyaje? Nchi hii ishakuwa ya udaku tu. Leteni habari za ziara ya mkuu sio maonyesho
 
hahaha!! mkuu matukio mengi ya kuvujisha huwa wanaume wanahusika ila kwa case ya huyo amejirecord mwenyewe but nani aliyevujisha?? inawezekana alikuwa anaugomvi na mtu so akaamua kuchukua simu yake na kufanya yake
 
Hata kama kukiwa na kutokuelewana kuvujisha picha za uchi za demu wako sio maadili ya mwanaume anaejitambua
Na ni kwa nini kama ni hivyo upigwe picha zavutupu na mpenzio kwa kazi gani ona sasa zimetumika vibaya
 
hahaha!! mkuu matukio mengi ya kuvujisha huwa wanaume wanahusika ila kwa case ya huyo amejirecord mwenyewe but nani aliyevujisha?? inawezekana alikuwa anaugomvi na mtu so akaamua kuchukua simu yake na kufanya yake
Sasa rejea ulicho kiandika sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…