Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

BASATA bana! Sasa wanamuitaje kumhoji kwani ilikuwa filamu au maisha binafsi na mwijaku wake
 
Nawaomba BASATA wawe wanachukua hatua kali mno. Hawa wanaoitwa Wasanii hujibanza huko kutafuta umaarufu kwa kuvunja maadili yetu kama Taifa. Kutokana na adhabu zisizotisha kwao wahusika, huwa wanapeana zamu ya kuachia mambo yao machafu hadharani. Bure kabisa hawa wanaojiita Wasanii!
Maadili gani? Mwili wangu ni mali yangu! Je kupiga watu risasi ndiyo maadili yetu? Kuwapoteza? acha hizo, mmeshaharibu kila kitu
 
Wote ambao wametazama hiyo video na kutangazia wengine, lazima wapate kushughulikiwa kikamilifu, ili iwe funzo kwa wengine kwamba kupiga chabo video za "u-meninax" ni kosa kihisia.
 
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limemuita msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Menina ofisini kwake kwa mahojiano zaidi kuhusu video zake chafu zinazosambaa mtandaoni.

Taarifa hiyo iliyotolewa leo Oktoba 11, 2019 na Katibu Mtendaji BASATA, inamtaka msanii huyo kufika katika Ofisi za BARAZA hilo mchana wa leo.

Kwa siku mbili zilizopita kumekuwa na video chafu mitandaoni zikimuonesha, Menina akiwa utupu huku akijirekodi kwa njia ya simu.

View attachment 1229614
hizo picha za utupu ziko wapi sasa,ilituongee lugha moja
 
Back
Top Bottom