Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaWadau hamjamboni nyote?
Soma maneno ya msanii mkongwe nchini Ferooz
"Tulianza show kwa kulipwa Tsh.30,000 na kiingilio ilikuwa ni buku jero mpaka buku getini" - Feroozz mkongwe Bongofleva akiongea EA Radio
Kweli kabisaSawa
nafikiri anatumia kimiminika kichwaniMbna kazeheka sana jamaa! Daah kweli dunia mapito hii.
Nakumbuka album yake nilinunua mia nane!Kipindi hicho elfumoja ni kama laki moja.hela ilikuwa na thamani sana tofauti na sasa.mama Samia kaharibu uchumi Hadi kupelekea Hela yetu kushika sana thamani.kwa Sasa Dola Moja ni 2690 na Hadi amalize itafika elfukumi
Acha uongo...ilikuwa 1500!Nakumbuka album yake nilinunua mia nane!
Jamaa alizipanga pisi kali hadi zikamuachia VVU🤣🤣🤣Mbna kazeheka sana jamaa! Daah kweli dunia mapito hii.
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama, Nimeshaachana na Jack sasa namfata Salama, Saa kumi na mbili na appointment mademu wawiliMbna kazeheka sana jamaa! Daah kweli dunia mapito hii.
Ni msanii mkongweMbna kazeheka sana jamaa! Daah kweli dunia mapito hii.
Usiwe kichwa maji Nimetoa kumbukumbu zangu kwa jamaa aliye niuzia bora ungeuliza kwanza kuliko kuniambia muongo! Bladifakeni!Acha uongo...ilikuwa 1500!
Mkuu umepiga mle mleSaa saba juu ya alama saa nikiitazama, Nimeshaachana na Jack sasa namfata Salama, Saa kumi na mbili na appointment mademu wawili
Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili.
Jenny wa Mikocheni ambae sasa hayupo tena duniani, Aliyekuwa akinisubiria pale Vatcan Kijiweni
Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni"
So Bado unauliza why kuzeekaling? 😥
Btw huyu tulilipa viingilio kusikiliza darasa, Siku hizi tunalipa viingilio kusikiliza matusi 😏😏
2004 hiyo, where were you?😂Saa saba juu ya alama saa nikiitazama, Nimeshaachana na Jack sasa namfata Salama, Saa kumi na mbili na appointment mademu wawili
Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili.
Jenny wa Mikocheni ambae sasa hayupo tena duniani, Aliyekuwa akinisubiria pale Vatcan Kijiweni
Amina na Semeni tunakutana kwa Macheni"
So Bado unauliza why kuzeekaling? 😥
Btw huyu tulilipa viingilio kusikiliza darasa, Siku hizi tunalipa viingilio kusikiliza matusi 😏😏