Msanii Msaga Sumu anavyoimba Mwanaume ' mashine ' anamaanisha nini?

Msanii Msaga Sumu anavyoimba Mwanaume ' mashine ' anamaanisha nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Katika Wimbo wake kila mara nimesikia akitaja ' mafanikio ' mengi ya Mwanaume ila kila mara anasisitiza tu kuwa Mwanaume ' Mashine '. Sisi wengine ni ' Wageni ' katika nchi hii na hatukijui vizuri Kiswahili hiki cha Kitanzania hasa hiki cha ' Pwani ' hivyo nawaombeni sana Watanzania na ' Waswahili ' mliotukuka mnisaidie kuniambia Msanii Msaga Sumu hapa alipokuwa akiimbia kwa kusema " Sifa ya Mwanaume Mashine....Mwanaume Mashine....Mwanaume Mashineeeeeeeee...." anamaanisha nini?

Nawasilisha.
 
Mwanaume is A sex machine, money making machine, money thinking machine and heart breaker machine

Kwahiyo katika vyote hivyo unadhani ' mashine ' halisi ya Mwanaume kama alivyoimba Msanii Msaga Sumu ni ipi Mkuu?
 
Tuwekee mwimbo basi niusikie au kuona video.

Mimi maneno hayo ningefikiri kuongelewa kuwa strong au handsome au anajua kazi ile au kimavazi

Sasa itegemee lipi linaongelewa. Haya na mimi najifunza maneno
 
Mashine ni kitu chochote kinachorahisisha kazi.. Sifa ya mwanaume ni kufanya kazi kama mashine
 
Tuwekee mwimbo basi niusikie au kuona video.

Mimi maneno hayo ningefikiri kuongelewa kuwa strong au handsome au anajua kazi ile au kimavazi

Sasa itegemee lipi linaongelewa. Haya na mimi najifunza maneno

Vipi Mkuu Wewe umeshawahi labda kukutana na hiyo ' mashine ' ya Mwanaume ambayo Msaga Sumu ameiimba?
 
Mashine ni kitu chochote kinachorahisisha kazi.. Sifa ya mwanaume ni kufanya kazi kama mashine

Hiko kinachofanya Mwanaume afanye Kazi ni nini au kinaitwaje Mkuu? Jamani Watanzania hebu nifundisheni Kiswahili basi!
 
Back
Top Bottom