Hapa ni usanii kama kawa na siku kakiachiwa huru mtaona makalio yake yatakavyolia mbwata! Sasa hivi kanaona soo, katakuwa kana kwenda kwenye kumbi za kujirusha bila kufuli-tusubiri ni suala la muda tu!
Baadhi yetu tunaangalia upande mmoja wa shilingi. Lakini kufiwa acha kabisa! Hata uwe mwanaume au mwanamke,na hata uwe kicheche au usiyetulia namna gani,kufiwa na mpenzi wako yule main,acheni kabisa! Huyo dogo yamemkuta makubwa kuliko umri wake. Msisahau marehemu alikuwa mpenzi wake. Msisahau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.