Nimecheka sanaWalisema Taarifa zote atatoa waziri husika ndugu.
na ww ni fala kweli aiseee vipindi vile vimerekodiwa mda mrefu sio baada ya kupata koronaKupona hila kalantini ameshatoka nilimuona kweny kipindi cha salama na alikuwa amekonda sana.
na ww ni fala kweli aiseee vipindi vile vimerekodiwa mda mrefu sio baada ya kupata korona
Sent using Jamii Forums mobile app
Loh!!Piga namba #199 kwamaelezo zaidi. Halafu utupatie mrejesho.
Nahmwa mafua ya SARS😂Mkuu unaumwa mafua? Maana hiyo title ulivyoandika inaonyesja kama una mafua makali sana.
Kile kipindi kilisharecodiwa siku nyingiKupona hila kalantini ameshatoka nilimuona kweny kipindi cha salama na alikuwa amekonda sana.