mmm... best kwenu toka enzi mlikuwa mnatumia ving'amuzi na madish nini?
Hahahah hapana...sijawahi kuwa na mahaba na hizi filamu za Kitanzania ndio maana hata simfahamu...hawa wengine huwa nawasikia kwa kuwa habari zao huandikwa magazetini.
Kwani alikuwa anaumwa nini jamani ?
huyu umaarufu alipata katika michezo ya runinga
RIP my classmate at Msinjahill primary school,you have gone too soon Jaji
tena bado kigoli kabisa!! salama lakini??
RIP for him ama kweli duniani tunapita tu
Prezida steve nyerere anza kupokea michango kwa tigo pesa
Rest in peace
kilichokufanya uirudishe thread ya majonzi ya sikunyingi ni nini? Unawashwa?