Msanii mwingine wa bongo movie (KASHI) afariki dunia!

Msanii mwingine wa bongo movie (KASHI) afariki dunia!

Mungu amlaze anapo stahili
Poleni wafiwa na ndugu wa marehemu.
 
Pole kwa wafiwa ingawaje ndio kwa mara ya kwanza nalisikia hili jina na kumuona muhusika mwenyewe

Marehemu hakuwa na skendo ndo maana jina geni kwako.
 
rip dada wote ni wasafiri hapa duniani.
 
kash.jpg



Hili ni pigo lingine kwa wasanii wetu hapa nchini.
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema Kash (Jaji Khadija) amefariki dunia katika hopsital ya muhimbili ambapo alikua amelazwa. Kash amewahi kutamba sana katika Michezo ya kuigiza kipindi cha nyuma kidogo iliyokua ikirushwa ITV, hadi mauti yana mkuta amekua akijuhusisha na shughuli za kuigiza. Moja ya Igizo alilowahi kucheza ni Tamu Chungu.
#MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AM



chanzo:

mungu akupumzishe kwa amani wifi yangu
 
Mungu ailaze mahali pema peponi daima tutakukumbuka tutamic ucheshi wako na kipaji chako haupo naai kimwili lakini kiroho tuko wote ulale kwa amani kwakuwa kuishi ni faida bali kifo ni ushindi Tangulia dada umemaliza safari yako!!!
 
Back
Top Bottom