Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Pamoja na kupata mafanikio makubwa kwenye muziki msanii number moja Afrika D. Platnumz Dangote pia amerudisha kwa jamii baada ya kutoa misaada mbalimbali na sasa atawasaidia waathirika wa mafuriko huko Iringa, pia anamalizia kujenga msikiti kwa ajili ya Ibada.

Ni mfano wa kuigwa sana huyu kijana. Wengine wanaishia kuvaa vaa mipete mara ya kijani,nyekundu,bluu sasa sijui wanaabudu majini na mazombi.

 
Je ! hiyo biashara ya huo muziki anaoufanya kwa sheria za dini ni " HALAL" Kama ndio good job na amepata thawabu zake, kama sio wanazuoni wanazungumziaje kuhusu zawadi hiyo waamini waliopwa ila wawe wanaswalia hapo?
 
Nyumba ya ibada haijengwi na mtu mmoja, atofautishe dini na misaada mengine. Ndio maana tumefundishwa unapotoa swadaka hata mkono wakushoto usijue, hapa maana yake usitangaze. Amefanya jambo la kheir ila namuomba asilifanye public namna hii. Achote busara kwa Bakhresa na matajiri wengine wa Kiislamu ambao hutoa kimya kimya kwenye mambo yahusuyo dini.

Allah amjaalie zaidi azidi kusaidia wengine.
 
Hajaitangaza ila mimi ndio nimeamua kuitangaza.
 
Huo ni msikiti au kajumba ka kunywea kahawa? Angejenga walau wenye size ya msikiti wa Mahita Moro au ule wa Ghadafi Dom tungemuelewa
 
Ila Nahisi Jamaa Yupo Vizuri hata Huko Kwenye Pete nyekundu n.k... Yaani Kwa Dunia ya Sasa Hivi mtu unaangaika Unapatwa na Vikwazo kwenye Biashara mpka Unachanganyikiwa ..


Diamond Wasanii wenzake Watakuwa Wameshajaribu Kumroga ashuke Ila Jamaa Arogeki... Maana Wasanii kwa Kuoneana wivu hawajambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…