Msanii Ney wa mitego aumbuka vibaya

Jamaa katoa boko aisee.
Tena sio msanii mkubwa tu...
Kaongeza na Hip Hop juu!
me naona vituko vyake ndo vinamfanya tumsikie lakini kwa mziki nafikiri ni funguo tu ya kufanyia mambo yao flani..
 
we una unasema amefungiw huk instagram anapost show aliyopiga
 
We jamaa umedata si bure,wapi nilipofurahia kwamba atapigwa na rumba? Na wapi niliposema nyimbo zake hazina maadili?acha ushabiki wa kishamba mkuu
 
We jamaa umedata si bure,wapi nilipofurahia kwamba atapigwa na rumba? Na wapi niliposema nyimbo zake hazina maadili?acha ushabiki wa kishamba mkuu


Sema basi unataka nini ueleweke, ushabiki wa kishamba maana yake nini?
 
Binafsi sijaona ubaya kwenye wimbo ule basata ijihuishe ili kuendana na Karen ya 21. Pili kumfungua msanii anayechangia kwenye ukuaji wa uchumi ni ulofa nafuu hata wangempiga faini kubwa
 
Wabongo wanafiki sana na wengi wana roho za kwa nini kwa maendeleo ya watanzania wenzao....Unakuta jitu linalalamikia wimbo wa ney halafu muda huo huo anasikiliza na kuzipenda nyimbo za kina Nicki Minaj na Lil Wayne zilizojaa matusi makubwa zaidi na video chafu zaidi.....Ni unafiki unafiki unafiki..........
 
Pale kati patamu maneno kuntuuuuu saaanaaa wimbo umenouger
 
Acheni ukike hasa ngoma imekua free dadeki pale kati patam
 
Mkuu hongera kwakuwamwagia upupu hawa watoa mapovu wanaonuka shida
 
Hakujua kua ni kosa? Tatzo msanii mkubwa wa hip hop alaf anaishi kwa kiki..


Ney nae kumbe ni 'msanii mkubwa wa hip hop' ?!!!

Mjomba bora ufuatilie sebene, singeli, na taarabu.

-Kaveli-
 
Hv hakunaga kufungiwa maisha!!? Maana consecutively unafungiwa, si balaa hili, afungiwe maisha tu!
 
unasema cloud media walimpotezea wakati habari yake mimi niliisikia clouds media

sasa kama vyombo vya habari vilimpotezea habari zake kuwa kafungiwa zimejulikanaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…