essaugervas
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 580
- 280
bila shaka hatakua dalali muigizaji huyo,,kacheza movie nying sana za kanumbaMimi hapa mtaani, Kuna jamaa alikuwa dalali baada akaingia bongo movie huku akiendelea na udalali wake sasa miaka kama minne sijamsikia, sasa juzi ndio nambiwa ana kanisa kimanga na yy anakula vichwa na hali si mbaya anausafiri wa ukweli.