Msanii Ney wa Mitego kujenga kanisa

Mimi hapa mtaani, Kuna jamaa alikuwa dalali baada akaingia bongo movie huku akiendelea na udalali wake sasa miaka kama minne sijamsikia, sasa juzi ndio nambiwa ana kanisa kimanga na yy anakula vichwa na hali si mbaya anausafiri wa ukweli.
bila shaka hatakua dalali muigizaji huyo,,kacheza movie nying sana za kanumba
 
Malizia lazima uhudhrurie na hela zote ulizoingiza wiki nzima.
 
Kama anaalika investors mimi niko tayari
 
Anatafuta KIKI kwa kukashifu imani za watu!

Mbona hasemi kuwa atajenga msikiti?
 
Karibu ECG arusha kwa Mtalemwa upate upako... Huko hakuna kubaniana
 
Hivi huyu jamaa ameacha kuhudhuria kliniki yake ya magonjwa ya akili??
Mkuu aende clinic kwa kutaka kufanya biashara ya kanisa?!

Mbona Gwajima,Lusekelo,Kakobe na mama Lwakatare wanadunda mitaani kwa biashara yao ya kanisa?!
 
Siku nyingine ideas za biashara asizisanue kama hivi. Mimi nina wazo la kuanzisha hiyo biashara kitambo tu. Time will tell
 
Makalio yake, Mpumbavu huyu! Anatafuta KIKI kwa kukashifu imani za watu!

Mbona hasemi kuwa atajenga msikiti?
Punguza jazba.

Msikitini haulipi hapa mjini.

kuna shekh yoyote unayemjua mwenye ukwasi wa Gwajima au mzee wa upako?!

kila mtu anataka kufanya biashara yenye faida
 
Kuna Siku hyo ney alihojiwa na redio moja anasema hamini kwenye mambo ya dini wala kanisa

Ova
Na ndio maana anataka afungue kama source ya income sio kwa imani kama unavyofikiria ww
 
Anajenga kanisa kwakuwa ni biashara inayolipa?

Na ni yeye ndiye atakayeongoza ibada kama Mchungaji au ataajiri mtu wa kazi hiyo?

Watch out Lusekelo & Gwajima.. hii investment ya Ney ni threat nyingine kwenu.
Atapiga Collabo na Masanja.

Hiyo lazima wamfikie Gwajima ndani ya muda mfupi mno.
 
Inawezekana na ni sahihi kabisa coz wale ni binadam pia sio mashetani kwa nini unakuwa na daut
 
NEY NINAKUONGEZA KWA LIST YA WATU WALIO KUMDHIAKI MUNGU, SUBIRI MATOKEO
 
Siro & Makonda.......
Mwingine huyu hapa, akapimwe kwa mke100
 
NEY NINAKUONGEZA KWA LIST YA WATU WALIO KUMDHIAKI MUNGU, SUBIRI MATOKEO
Jambo fulani likiongelewa na mtu huwa linapokelewa tofauti sana na mtu mwenyewe alivyomaanisha

Ney ni kama analaani kitendo cha ongezeko la makanisa ndio maana anasema haamini katika hayo
Na kwa hali hiyo anaona ni kama biashara nyingine tu
Kwa hiyo hata yeye anafikiria kuifanya
Sijaona alipo dhihaki ila inaonekana ana imani ila anaona imeingiliwa
 
Punguza jazba.

Msikitini haulipi hapa mjini.

kuna shekh yoyote unayemjua mwenye ukwasi wa Gwajima au mzee wa upako?!

kila mtu anataka kufanya biashara yenye faida
Kwahiyo msikiti kutokulipa, ndio hitimisho kuwa dini ya kikristo ni Biashara?
 
Kanisa liwe la uhongo hakuna mwenye mamlaka ya kusema hivo, MUNGU ni ajabu sana kama ukitafuta habar zake
 
Mawazo kama haya ni machukizo mbele Mungu ndo mana ndo mana tunakosa mvua ebu soma yeremia 3:2-3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…