Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Siasa za Tanzania na zile za South Africa zinaufanano kwa mbali hasa kwa vyama vya CHADEMA na EFF.
Mosi ni itikadi zao zilizojikita mizizi kwenye harakati za kutetea wanyonge.
Pili ni viongozi wa wakuu kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Tatu ni kuhamahama kwa viongozi waandamizi wa vyama ambao mara nyingi wamekuwa wakilalamikia ubinafsi wa viongozi wakuu.
Chadema [Dr Slaa, Zito, Msigwa, n.k]
EFF [Floyd, Dali Mpofu na sasa Dr Ndlozi inasemekana muda wowote atajiunga na MK Chama cha aliyekuwa Rais Mr Jacob Zuma .
Makubwa yanayolalamikiwa ndani ya vyama vyote viwili yanafanana na viongozi wakuu [Malema na Mbowe] semantically wamekuwa na majibu yanayofanana.
Swali ni je, walishindwa kujua wakati sahihi wa kushuka stejini hadi kuikera hadhira?
Mosi ni itikadi zao zilizojikita mizizi kwenye harakati za kutetea wanyonge.
Pili ni viongozi wa wakuu kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Tatu ni kuhamahama kwa viongozi waandamizi wa vyama ambao mara nyingi wamekuwa wakilalamikia ubinafsi wa viongozi wakuu.
Chadema [Dr Slaa, Zito, Msigwa, n.k]
EFF [Floyd, Dali Mpofu na sasa Dr Ndlozi inasemekana muda wowote atajiunga na MK Chama cha aliyekuwa Rais Mr Jacob Zuma .
Makubwa yanayolalamikiwa ndani ya vyama vyote viwili yanafanana na viongozi wakuu [Malema na Mbowe] semantically wamekuwa na majibu yanayofanana.
Swali ni je, walishindwa kujua wakati sahihi wa kushuka stejini hadi kuikera hadhira?