Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Unatueleza hapa, inahusu!
Safi sana! We ndo wa ukweli ...Mi hata unijengee ghorofa 80, siwezi kuolewa na mzungu.
Kwa nini?? I wish i could know!Mi hata unijengee ghorofa 80, siwezi kuolewa na mzungu.
Huna lolote sema hujampata tu, pita hivi aiseeeeeMi hata unijengee ghorofa 80, siwezi kuolewa na mzungu.
Labda ndipo ilipo furaha yake.... We never knowView attachment 350486
Msanii wa Muziki wa Mombasa Nchini Kenya,maarufu kama Nyota Ndogo,ameamua kuachana na maisha ya upweke na kuamua kufunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu
Kitendo cha Nyota Ndogo kuamua kufunga pingu za maisha,kumezua maneno mengi miongoni mwa vijaana wa Kikenya wakiamini kuwa msanii huyo ameenda kuolewa na mwanaume aliyemzidi umri sbb ni mzungu,hali hiyo ilizua mtafaruku kati ya mashabiki wa Nyota Ndogo na wale wasiompenda
Wakati huo huo wengi wamekosoa aina ya "make-up" aliyoiweka wakati wa harusi yake.Kwetu Bongo Nyota Ndogo ni maarufu kwa wimbo wake wa "Kuna Watu na Viatu"
Kwanini Jane au ndo unaogopa hizo research zao walizozungumzia wadau?Mi hata unijengee ghorofa 80, siwezi kuolewa na mzungu.
naona bado lami tu ndio hajaweka, unashangaa mtu anatumia pesa nyingi wakati anakua hapendezi, wapambe wake sijui wako wapi?Rangi ya ngozi, rangi ya gauni, piko, make up.... Amekua kama mganga wa kienyeji
Hongera zake kwa kufunga ndoa