Msanii Nyota Ndogo afunga ndoa na Mwanaume wa Kizungu

Msanii Nyota Ndogo afunga ndoa na Mwanaume wa Kizungu

Kwani huyu anaundugu na Mrisho Mpoto?
 
View attachment 350486

Msanii wa Muziki wa Mombasa Nchini Kenya,maarufu kama Nyota Ndogo,ameamua kuachana na maisha ya upweke na kuamua kufunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu

Kitendo cha Nyota Ndogo kuamua kufunga pingu za maisha,kumezua maneno mengi miongoni mwa vijaana wa Kikenya wakiamini kuwa msanii huyo ameenda kuolewa na mwanaume aliyemzidi umri sbb ni mzungu,hali hiyo ilizua mtafaruku kati ya mashabiki wa Nyota Ndogo na wale wasiompenda

Wakati huo huo wengi wamekosoa aina ya "make-up" aliyoiweka wakati wa harusi yake.Kwetu Bongo Nyota Ndogo ni maarufu kwa wimbo wake wa "Kuna Watu na Viatu"
Labda ndipo ilipo furaha yake.... We never know
 
Hilo tabasamu la kwake au amelazimishwa.?
 
Hongera kwake ila make up ni kiroja,nadhani angevaa a simple white gown na a little makeup angependeza zaidi,
Hilo lemba, henna lohhh...
 
N
Rangi ya ngozi, rangi ya gauni, piko, make up.... Amekua kama mganga wa kienyeji
Hongera zake kwa kufunga ndoa
naona bado lami tu ndio hajaweka, unashangaa mtu anatumia pesa nyingi wakati anakua hapendezi, wapambe wake sijui wako wapi?
 
Hyo mi piko na hzo zang nmemuaribu uzur wake wote
 
Shikamoo Nyota ndogo ............. maana Mzungu akipitia sister wako basi jua hakuna njia inayoachwa salama.
 
Back
Top Bottom