Msanii Pharell: Ni marufuku kwa Rais Trump kutumia wimbo wangu kwenye siasa, ukiendelea nitakuburuza mahakamani

Msanii Pharell: Ni marufuku kwa Rais Trump kutumia wimbo wangu kwenye siasa, ukiendelea nitakuburuza mahakamani

Trump aliucheza huu wimbo, siku moja baada ya mauwaji ya synagogue ya waislamu huko U.S
 
Trump asikutishe huyo!!!
Ngoja nikutumie wimbo wa Saida Karoli wa "NCHAMBUA KAMA KARANGA"
Asikuringie na vinyimbo nyimbo vyake huyo Msanii Pharell.
 
Back
Top Bottom