pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Hahahaaa mwenzie makamua sijui yuko wapi awajamaa walikua hatari warudi tu bado hawajachelewa mbona mwenzao Alishushwa kibakuli kaamua kukaza na anapata vishoo Qj ukitaka kurudi fasta unda bifu kwa diamond lazima ujulikane we telezea nyota ya mond tu kama Alishushwa kibakuli uone utavorudi fasta.